Msigwa afunika Iringa Mjini

Msigwa afunika Iringa Mjini

hatuwezi kukaa kimya katika hili moja kati ya mambo ambayo tulifanya kwa usahihi mkubwa kabisa ni hili la kumchagua Msigwa na kwa sauti KUBWA KABISA TUNASEMA 2015 MSIGWA TENAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Kila la kheri wana wa mkwawa
 
SHETAN KAFANIKIW SANA kumkamata mchungaj msigwa mpaka kasahau kaz ya BWANA aliyoitiwa na sasa anapambana na UFALME WA ULIMWENGU huuu... MCHUNGAJ KOKO MWENYE TAMAA YA PESA HAFAI HATA KUITWA MCHUNGAJI...anatia aibuu
 
vijana wengi mnataka mabadiliko mkiamini yataletwa na ukawa! ni kweli labda ila tatizo wengi wenu hamtavumilia hata kukaa masaa 2 kwenye foleni ili mpige kura kwa madai ya kwenda kwenye mishe ili kusaka tonge,kibaya zaidi ni wengi pia hawana hata ID za kupigia kura angali zam ya maeneo ilishapita, sasa kwanini wanawake na wazee wasitekwe na upande wa pili??
 
Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!

Mkwe.re juzi Bungeni alikuwa anaeleza Mafanikio yake katika Miaka 10 kwa kigezo kipi ?
 
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.

Hahaaha, ndiyo maana Blogu za wanafiki wa CCM za akina Francis Godwin (Matukio daia na ile ya Iringa yetu) tangu jana haziko hewani.. Wote wamefyata mikia yao kwa kumwogopa mwanaume wa chuma Mchungaji Msigwa !
 
siyo wa iringa ila namuelewa sana huyu jamaa.. watu wa iringa naamini hamtafanya makosa
 
SHETAN KAFANIKIW SANA kumkamata mchungaj msigwa mpaka kasahau kaz ya BWANA aliyoitiwa na sasa anapambana na UFALME WA ULIMWENGU huuu... MCHUNGAJ KOKO MWENYE TAMAA YA PESA HAFAI HATA KUITWA MCHUNGAJI...anatia aibuu

Hata bungeni ni utumishi anatetea wanyonge wanaoteswa na majizi ya mali za umma ungesema ameacha kazi ya bwana na kwenda kufungua bar hata mimi ningemponda
 
Back
Top Bottom