Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,727
Aisee hapana. Niseme ukweli Iringa kurudi CCM haitawezekana. Hakuna mtangaza nia hata mmoja mwenye nusu ya mvuto wa mchungaji. Siongei unafiki Ila kwa macho yangu nimeona watu wengi tena wa hali ya chini sana wakitembea kwa mguu toka nduli kwa kupitia milimani ili kukwepa ffu wafike kwenye huo mkutano. Ilikua AMAZING