ngofa
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 238
- 128
Jimbo lishaondoka hilo, hakuna alichokifanya cha maana kwa muda wa miaka mitano, yeye aendelee na kazi yake ya zamani ya kulisha Kondoo wa BWANA, hiyo ndio inamfaa!
Mlitaka ahamishe ardhi?Msigwa anakusanya kodi?kama serikali ya ccm haijapeleka hela za miradi mlitaka afanye nini?