hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Hivi Mkuu bahati Bukuku na promo lake kwa Lowassa mpaka na nyimbo katunga ameishia wapi?Iringa mjini mwaka huu kumekucha
View attachment 269615
Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!
Mbunge wa CHADEMA tu kawakusanya watu hivi.... Hii nchi imeenda... BVR inawazika ccm mwaka huu
Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!
Ahaaa, hebu kila mmoja apewe nafasi stahili bhana. Ina maana Rais Kikwete alipokuwa anatoa taarifa ya kazi alizofanya katika ule mkutano pale Dodoma alifanya makosa kuyasema katika ule mkutano ? Maana kwa jinsi hiyo hata yeye watu wangekuwa wameona mambo aliyofanya, hivyo, hakukuwa na maana ya kuyasema katika ule mkutano.
Nyomi haipigi kura usikariri wewe. Wengi wao hapo hata vitambulisho vya kupigia kura hawana.
Atawapaje vibao wakati ni magamba wenzake
Iringa mjini mwaka huu kumekucha
View attachment 269615
Mbunge wa CHADEMA tu kawakusanya watu hivi.... Hii nchi imeenda... BVR inawazika ccm mwaka huu
magamba wakiona hivyo wanaumia sana.