Msigwa afunika Iringa Mjini

Msigwa afunika Iringa Mjini

msigwa hizo ni sifa kamanda wangu KIJANI wanapnaje wivu?
 
mimi ningekuwa mwakalebela nisingepoteza muda , ningehakikisha nampisha msigwa kuepuka aibu .
 
Iringa mmesema, tumewasikia! Chadema ni mpango wa Mungu kwa hakika.
 
Umuhimu wa mbunge ni kuleta maendeleo jimboni kwake, nina imani kama ameyafanya hayo, basi wana iringa watamchagua tena maana sikuhizi bungeni ndio kumegeuka uwanja wa kujijengea umaarufu kiasi cha kusahau maendeleo majimboni. Wana iringa hilo ni muhimu kuzingatia mnapo mpima mgombea na siyo porojo za bungeni pekee
 
Mkuu nasikia wamemsifu bila yeye kusingekuwa na barabara ya Iringa - Dodoma pamoja na hospitali moja hivi imejengwa mitaa ya frelimo

Yes hospital nzuri,na yy alishiriki kupeleka vitanda,wamama wasilale chini
 
Awesome! As usual...watu wa Iringa na chama chao.

attachment.php
attachment.php
 
Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!

Na jamaa yako wa maamuzi magumu aliyefanyiwa maamuzi mepesi alikuwa anaitisha mikutano pia
 
Jimbo lishaondoka hilo, hakuna alichokifanya cha maana kwa muda wa miaka mitano, yeye aendelee na kazi yake ya zamani ya kulisha Kondoo wa BWANA, hiyo ndio inamfaa!
 
Back
Top Bottom