Msidhani wote tunapapatikia hilo

Msidhani wote tunapapatikia hilo

Ila sio uongo, wengi wanavipenda hivi "vigari" vya mikopo(IST, Vits, Passo nk), wanavipenda sana na vijana wenye hivi "vigari" wanachapa mabinti zetu.
 
Nimekwazika sana na baadhi ya wanaume washamba wa magari, wanadhani wanawake wote ni washamba wa magari. Magari siyo issue siku hizi.

Natembea zangu kwa miguu kutafuta voucher taratibu pembeni ya barabara gari nime-park sehemu. Anakuja mtu anasimamisha gari miguuni pangu kidogo anigonge mpaka nimeanguka kwa mshtuko.

Bila aibu anakuja kuninyanyua eti naomba nikupeleke unakoenda mrembo.

Nimemrabua kibao na kumwambia ampeleke mama yake. Magari ya mikopo yanawafanya mnakuwa na vidudu washa kila mwanamke mnadhani ni cheap chinese goods.

Nimemwambia yeye na gari lake wote naweza wapakiza kwenye gari yangu kigari chenyewe ni kisubaru. Nimemwambia aje nimpakize kwenye Toyota Harrier.

Wanaume acheni kudhani kila mwanamke anayetembea ni sababu hana gari au atakuwa anapapatikia magari. Huo ni ushamba, tusije vunjana miguu bure kwa mambo yenu ya kitoto. Hivi vitoto vya siku hizi havina hata busara.

Jamani. Habari zenu? Za siku? nimekuja na mahasira yangu mwenyewe hata sikusalimia.

Mwanaume unapaswa kuwa mstaarabu ndo utapata wadada wastaraabu.
Kumbe na wewe una gari kama mimi
 
Naona ni msimu wa viroja vya wamiliki magari
 
Kuna mwingine amefunga brake na starlet yake, mbele ya msichana mrembo, amepigwa kibao akazimia papo hapo.
 
Ungepanda alafu ungerudi nae pale ulipopaki mchuma wako, angemwambia jaribu were na gari yako.
Ungemuona alivyoshirinki.
 
Nlichogundua sio kwamba hupapatikii gari,bali gari aliyokua nayo mwana ilikua ni cheap kuliko yake....Bila shaka angekuja mwenye ndinga ya maana,yawezekana huu uzi ungekua tofauti kabisa
 
Hapa the real intention haikuwa kutufahamisha kuwa na wewe una gari tena harrier? Just guessing though
 
Asante kwa kuja tena ,maana ulipotea kwa muda.
 
Reaction yako kwenye scenario hiyo ni ya kitoto.Any matured woman would have declined politely na huyo jamaa angeondoka.I'm afraid bado haujaweza kufikia ukomavu wa kudhibiti hisia zako unapokumbana na watongozaji tofauti tofauti.Huyo jamaa hana makosa na alikuwa anatekeleza wajibu wake kama mwanaume.Wajibu wetu wa MSINGI ni KUTONGOZA NA KUGEGEDA.Lakini ni haki yako kukubali au kukataa
 
Mkuu... naomba hiyo nafasi, tafadhali unipakie mimi na haka kamkebe kangu...
tapatalk_1562647940254.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom