Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mara hii ushasahau kuwa mi silogeki......?shhhhhhhh...... Watakuloga ujue
Mara hii ushasahau kuwa mi silogeki......?shhhhhhhh...... Watakuloga ujue
Tabibu wangu Lady doctor waeza niambia kinaendelea nini baina yako na huyu womaniser Chimbuvu?baby punguza hasira,niojeshe penzi lako ambalo ni tamu kama asali baby jamani
swala la ukaguzi lilikuwa na thread yake na hadi chumbani nakumbuka tuliingia mimi nawe tukamalizana, nashangaa tena unalianzisha huku.
Mambo makubwa kama hayo yanazungumzwa kwa faragha kama tulivyofanya jana mimi nawe, ndio maana hata leo nilipoona huo wimbo kwamba msichana wa urembo kama lady doctor ya kwamba hana mume, nikasema acha nimuite mwenyewe aje atoe ushuhuda, maana haiwezekani kwa ukaguzi wote uliofanya usijichagulie mwenyewe tena kilicho kinono.
baby i love you jamani jua nakupenda,mvua ikinyesha inaninyeshea ,jua linanipiga yote kwa ajili yako,baby nikubali nikuweke ndani ili wanga wafunge midomo yao.
sasa kwanini umenidhalilisha hivo kama kweli unanipenda
^^
ehee! Niambie hapa
Sema kweli shetani aiibike.
^^
sema mtwana wangu
mbele yako baby napiga goti,nataka nikuvishe pete ya uchumba mbele ya Baba V BABY NIKUBALIE BABY JMN
hiyo pete ndiyo ninayoitaka ila ianzie na uzito wa gram 10 na kuendelea
hapa wanga wengi twende pembeni kidogo, halafu uje utoe ushuhuda kwa utakalo sikia
OOOH USINIULIZE BABY KAMA NI PESA TU,WE KACHUKUE NTALIPIA,OOHHH MAPENZI YALINIFANYA KAMA MTOTO NILIE MIMI JAMANI YOTE SABABU YAKO Lady doctor
Hivi nna sababu yoyote ya kujitaja?
Afu leo umeniumiza sana moyo wangu...:shock: