Msichana wa mshkaji wangu amenipenda

Msichana wa mshkaji wangu amenipenda

sure, hawa wadudu huwa hawaelewek, ila na wewe mshkaji pia sio ni mhuni tu
 
Achana nae, ila sishangai sana. Mjomba wangu ameoa miaka mingi iliyopita ila mke wake alikua ni demu wa rafiki yake wa karibu sana na aliwahi kutambulishwa hadi kwao na wakawa wameshapanga kabisa mipango ya kuoana ila mwisho wa siku kaja kuoa msela wa karibu kabisa na bado ni marafiki wakubwa tu mpaka sasa.

Onyo: Usijaribu mchezo huo kwakuwa matokeo yake yaweza kuwa tofauti na hayo hapo juu.
[emoji1][emoji1][emoji1] matokeo yake ni yy kumegwa kisera kama alvyomega dem wa mshikaj wake
 
We nae sijui hio tittle yako hujaielewa au sijui umeandika huku umevaa miwani ya jua usiku.
Kutokana na maelezo yako ww ndio umemtongoza akukubali Wew ungejiheshimu na kujua thamani ya rafki yako husingefanya unachokifanya
 
We nae sijui hio tittle yako hujaielewa au sijui umeandika huku umevaa miwani ya jua usiku.
Kutokana na maelezo yako ww ndio umemtongoza akukubali Wew ungejiheshimu na kujua thamani ya rafki yako husingefanya unachokifanya
Hainaga ushemeji umeona kaah jamaa Huyu Nuksi
 
Kuna msichana flani alikuwa demu wa mshikaji wangu,kipindi yuko na jamaa mimi nilikuwa kama msuruhishi wao ikitokea wakigombana yani jamaa ananiomba nimbembeleze demu,jamaa yeye hanaa maneno matamu.Sasa sijui nini kilitokea wakaja wakaachana.
Juzi kati huyu demu amenitumia sms huku akiniamnia amenimiss na maswali ya kitoto,mara wifi hajamno,mara nisalimie wifi, mara nyingine anamponda mshkaji, nikaona isiwe tabu nikamtongoza!!!,alikubali faster kuliko nilivyotegemea,yani kuanzia juzi nammega kisela na mwenyewe amekubali mapigo yangu ila anadai wasiwasi wake ni mshikaji wangu nikamwambia tulia mshikaji hatajua labda umwambie wewe kwakuwa yuko mbali kwa sasa.Ushauri wangu kama una demu wako usije ukajaribu kumuomba jamaa au best yako akakusaidia kumbembeleza mkihombana kwani mwisho wa siku ni kugongewa tu.
Ushauri makini sana huo..
 
hongera mkuu. lakini kuwa makini na huyo demu.
 
Jamaaa kwa kupenda mteremko tu hujambo
 
Hizi case ni comon sana, hata mm kuna dem wa mshakaj wangu wamezinguana mi nikawa kama msuruhish wao. jamaa anadai hana mpango na demu ila hawezi mwambia. sasa demu kakolea sana kwangu cku moja nikadeshi kumuita dem kwangu aje atulize mawazo. mimi nipo mkoa mwingine ajabu dem kakubali fasta sana na defensing mehanism kuwa nisimwambiea mshkaj. Sasa ndo najiuliza akija c tutaishia kupigana pipe tu.. yani hizi mambo huwa sizielew kabisa
 
Back
Top Bottom