Msichana akizaa uzuri unaongezeka

Msichana akizaa uzuri unaongezeka

Hii tetesi ina ukweli?
Mdada akizaa uzao wa kwanza, kama ni mrembo, urembo unaongezeka na kama sio mrembo ndiyo anakuwa mrembo. Lol my miss chagga....sipati picha.
Tetesi yako inategemea urembo upi? Kama unadefine urembo kwa ubonge hapo sawa ila kuzaa disfigure sehemu nyeti. Hili ni bora likawekwa wazi.
 
Ahsante kwa mchango wako Mkuu KwK

Upo sahihi kabisa maana mie mwenyewe Kabla ya kupata mtoto nilikuwa tofauti na sasa ukizaa kwanza mwili utanuka na Kama ndio mungu alikujalia basi Mara mbili yake na sura Pia inakuwa na nuru
 
hapa ulitaka kumtaja The Boss huyu huyu?

Enheee asante umeniitia maana naambiwa nimechuja baada ya Mola kunijaalia mtoto. Hajui ile ndude ina elasticity ya hali ya juu na mwanaume anayejiamini yeye ni kibamialess haogopi kitu...! Of course kibamia atasepa... lol ni maoni tuuuu
 
Last edited by a moderator:
My dear ikifika time jizalie upate furaha ya moyo watoto wanaleta furaha sana usiogope kisa huna shape ila mungu amekupa kitu kizuri ambacho wazuri wa maumbo hawana....

Kila siku najisemea sina uzuri wa kushtua ila najisifu nna HEART najiproud kwa hili.....

kweli mamy......yani hapa nikimwangalia mwanangu....duh nasemaga asante Mungu.....mwezi wa 10 anatimiza miaka 2.
 
We hunishindi mimi aisee nawazaga hadi nachoka kabisa
Kuwa mrembo/ kutokuwa mrembo baada ya kujifungua lipo mikononi mwako mwenyewe. Ukijiachia utachusha. Ukipangilia mlo na kujiweka safi, kuexercise kidogo utakuwa mrembo kuliko hata kabla hujajifungua

Kuna watu hawana wtt, na hawana mvuto pia na njiani wanasalimiwa mama hujambo wkt labor ward hawaijui. umri wa kuzaa ukifika ni bora uwe na kababy kako
 
Naona hii sredi imechangiwa na wanawake zaid, big up sana mkitoka hapa sio muendelee kuogopa kuzana kunyonyesha kisa mnahofia kupoteza shape zenu!
 
Duh, labda inategemea mtu na mtu, kuna demu namfahamu alipata ujauzito, tukapoteana kwa muda, nilipokutana naye....nadhani ile pua imegoma kurudi kama ilivyokuwa kabla ya ujauzito, plus alivyofutuka mwili tena.

Hata kazini ilibidi wamuombe apeleke picha nyingine kwa ajili ya kitambulisho.
 
ha ha ha mbavu zangu mie et chupi magaguro hayamtoshi
sa si umsaidie kufanya diet ha ha ha

usihofu nimeshaanza kuchukua hatua ila mrejesho ni mdogo mno wa kupungua labda nianze kumpa stress inaweza saidia
 
Back
Top Bottom