Msichana akizaa uzuri unaongezeka

Msichana akizaa uzuri unaongezeka

hahahahaha lol!!!! mie natokea fashi hii hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Hahaha nikajua mkuu labda unatokea kifasi ya Lubumbashi au Kinshasa...
 
Nyie mna exaggerate tu. Mara nyingi gari ikishusha injini. Haiwi the same tena. Ndio mwanamke akizaa anabadilika atapendeza lakini hatakuwa kama alivyokuwa msichana.
Ni maumbile tu wajameni na wala sio kitu na vile vile kama wewe ni mwanaume pia unabadilika ukishaanza kuwa na familia . Hatuweiz kubakia wale wale hata siku moja. Kuvumiliana tu jamani.
 
Nyie mna exaggerate tu. Mara nyingi gari ikishusha injini. Haiwi the same tena. Ndio mwanamke akizaa anabadilika atapendeza lakini hatakuwa kama alivyokuwa msichana.
Ni maumbile tu wajameni na wala sio kitu na vile vile kama wewe ni mwanaume pia unabadilika ukishaanza kuwa na familia . Hatuweiz kubakia wale wale hata siku moja. Kuvumiliana tu jamani.

mkuu unafananisha mwanamke na injini ya gari?
 
Nimewahi kuliona hili, baadhi ya warembo wakishajifungua wanazidi kupendeza hata kuliko kabla hawajapata ujauzito.

Upo sahihi kabisa maana mie mwenyewe Kabla ya kupata mtoto nilikuwa tofauti na sasa ukizaa kwanza mwili utanuka na Kama ndio mungu alikujalia basi Mara mbili yake na sura Pia inakuwa na nuru
 
Hiyo issue yakuzaa nakuzidi kuwa mrembo mmmh sina uwakika ! ila unadhifu humfanya m2 aonekane mrembo ukizaa ukajiachia looh! lakni ukizaa na ukazdisha unadhfu lazma uonekane mrembo.
 
Back
Top Bottom