jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
..labda..
Yote yawezekana kuna kuwa mrembo ukiweza kumaintain mwili kuna kuwa kifutu tumbo huku nyonyo kule kama ni mtu wa kufakamia misosi....
Kweli mkuu hii ni kwa baadhi.Nimewahi kuliona hili, baadhi ya warembo wakishajifungua wanazidi kupendeza hata kuliko kabla hawajapata ujauzito.
ntakesha gym wallah mambo ya kuwa na tumbo kama muwa full mapingili hata sitaki....Nakusubiria ukiharibu tu muonekano wa kitutsi basi nitaamini Tembosa kadanganya.
usihofu nimeshaanza kuchukua hatua ila mrejesho ni mdogo mno wa kupungua labda nianze kumpa stress inaweza saidia
Ulishajifungua?Acha nikijifungua ntaleta mrejesho.....
Teh teh tehUlishajifungua?
Hii thread imekuibua kutoka mafichoni mkuu!!Ndio maanaaaa............ Ngoja niishie hapa!

eti umri standard wakuanza kuzaa ni upiKuwa mrembo/ kutokuwa mrembo baada ya kujifungua lipo mikononi mwako mwenyewe. Ukijiachia utachusha. Ukipangilia mlo na kujiweka safi, kuexercise kidogo utakuwa mrembo kuliko hata kabla hujajifungua
Kuna watu hawana wtt, na hawana mvuto pia na njiani wanasalimiwa mama hujambo wkt labor ward hawaijui. umri wa kuzaa ukifika ni bora uwe na kababy kako
Mzigua umejapamba sana...sheeKutakua na ukweli flani. sasa hiv watu wanaoniona wananishangaa wanasema hips limeongezeka na tumbo limepungua. Hata mwili umepungua pia tofauti kabla cjazaa nilikua kibonge zaidi ila sasa hiv shape inaonekana vizuri zaidi. Ila nahisi tunaokuaga warembo zaidi ni single moms si maana tunaangalia other opportunities so lazima kupendeza.
Miaka 18 kwa mwanamke.eti umri standard wakuanza kuzaa ni upi
Umeongeaa ukweli sanaaa. Mwingne. Tumbo la mtokaa kamaa amezaliwaa sayar nyngneYote yawezekana kuna kuwa mrembo ukiweza kumaintain mwili kuna kuwa kifutu tumbo huku nyonyo kule kama ni mtu wa kufakamia misosi....