Yote yawezekana kuna kuwa mrembo ukiweza kumaintain mwili kuna kuwa kifutu tumbo huku nyonyo kule kama ni mtu wa kufakamia misosi....
katika mambo yanayoniwazisha ni hilo mmmmh ila sasa nitafanyaje
katika mambo yanayoniwazisha ni hilo mmmmh ila sasa nitafanyaje
We hunishindi mimi aisee nawazaga hadi nachoka kabisa
huwa wamama wananawiri hususani wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua...
huwa wamama wananawiri hususani wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua...
Ndio maanaaaa............ Ngoja niishie hapa!
Hahahah...
Ooh yeah douta...ukitaka kuendelea utaninong'oneza eenh wengine wasisikie
Kunong'oneza ndiyo nini!? 🙂🙂
kumpasha mtu habari kwa kumsogelea sikioni....
kiswahili fasaha hicho mkuu mbona...
Nilikuwa natania tu Mkuu lol!!!!
ha ha ha mbavu zangu mie et chupi magaguro hayamtoshimara ndizi nyama,uji wa ulezi,kichuri, supu jioni na asubuhi,vita malta,siku nyingne mara aagize castle lager(VYOTE HIVYO VILIKUWA VINAAGIZWA NA WIFI YENU ALIPOJIFUNGUA) Matokeo yake kawa kibonge chupi,magaguro na nguo zake nyingne hazimtoshi,SASA HIVI AMEKUWA ANAJIHISI MBAYA KUTOKANA NA UNENE WAKE.
Ungetupia kapicha ingekua poa kweliKuna mmama kwa kweli ana watoto wako chuo lakini hata asipovaa bra anaonekana saa 5 dakika 59 sekunde 59. Ila kuna msichana ni bikra ila inaelekea sa 9 na nusu. Mi nadhani inategemea na maumbile ya m2 lingine linakua kama ndala ? Daaaah