Acha urongo. vitanda vitakaa wapi. chumba cha mwanafunzi wa chuo kinatakiwa kiwe na kitanda. makochi na meza ya kahawa meza ya kusomea na kabati la nguo. hivi ndio basic.
Kama unashindwa kutofautisha ukweli na uongo ni heri ukakaa kimya. Niliwahi kuishi hapo Block E miaka miwili kati ya minne ya masomo yangu UDSM,
Watu tulikua 9 vitanda viwili vya double decker; wawili wawili making a total of 8 na mwingine alikua na godoro lake anatandika chini asbh anatandua. Na ilikua enzi hizo Div III hupati admission UDSM, sasa saiv sijui itakuwaje coz had div IV unakua admitted.