Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,573
haya majengo yana miaka zaidi ya 50 hatukatai kwamba ni imara kwani hata roli la tani 7 ukilibebesha tani 15 litachoka kabla ya muda tatizo hapa ni overloading,capacity ya kubeba mtu mmoja kwa chumba sasa ni watu wanne ,kubebana ndio point ya kujadili kwani uimara utapungua tu,siku ya kianguka ndio utasikia tume zinaundwa kwa gharama wakati tume inaweza kufanya kazi kabla ya maafa
NANI KAKUAMBIA VILE VYUMBA NI KWA Mtu Mmoja?