Msiba mkubwa kutokea UDSM ikiwa...

Msiba mkubwa kutokea UDSM ikiwa...

kaka ungekuwa umelala mle siku ya tukio ungejua namaanisha nini hata wale makauzu walikimbia kma wewe ulimaliza na akina samwel sitta enzi hizo pita kesho uyachungulie ujionee nyufa
Huyo aliyeyakagua na kutoa wito wa kutokutumika ni nani? Sisi tumefika pale miaka ya 98 tukaambiwa mara yamekaa upande sijui yameegama, mara sijui yametitia upande, lakini hatukuwahi kuona tatizo hata siku moja zaidi ya kukatika kwa zile kingo za kwenye viambaza vya nje. Mimi sidhani kama uongozi wa UDSM ni mzembe kiasi hicho kwamba usijui hali halisi ya majengo hayo. Hakuna kiongozi yeyote wa chuo ambaye anapenda wanafunzi wengi kiasi kile wanaoishi kwenye vyumba hivyo wafe. Bila shaka wamejiridhisha na usalama wake ndiyo maana wamewaacha wanafunzi humo. Hao walioumia walianguka kutoka vyumbani au ilikuwaje? Na kwanini waanguke, au pressure? Huko unakosema kuyumba, ni mechanism ya majengo yote ya Ghofofa kufanya hivyo kwa ajili ya shock absorption.
 
Hivi cku hyo maghorofa yaanguke na kuua watu...uongozi wa udsm watawaambia nn watanzania ....tuwaze mkuu wa Chuo kawekewa maiki na waandishi wa habari ataongea nn? Mi nahic atakuwa bubu kwa muda
 
hii kitu muhimu sana serikali pamoja na chuo kikuu waangalie kwa kina hii kitu ilitutokea dhahama .. hapo mwaka 2007 nakumbuka sana kuna kingo za kibaraza zilindondoka ilikuwa ni balaa ...ilikuwa asubuhi watu walitoka bafuni na mafovu...

yanawezekana yakawa imara ila mzigo yanayobeba ni mkubwa sana... vyumba vingine wanakaa mpaka sita... wanaweka godoro chini...


mbona wanajenga lecture theater na nasikia wanatakakujenga recreation centre/ stundent centre hapo hapo..sasa kwanini wasijenge mabweni kwa ajili ya wanafunzi..?

hizi pension fund kwanini zisiwekeze huku hawajui hawa ndio waajiri/waajiriwa wa baadae...?
 
Kama unashindwa kutofautisha ukweli na uongo ni heri ukakaa kimya. Niliwahi kuishi hapo Block E miaka miwili kati ya minne ya masomo yangu UDSM,

Watu tulikua 9 vitanda viwili vya double decker; wawili wawili making a total of 8 na mwingine alikua na godoro lake anatandika chini asbh anatandua. Na ilikua enzi hizo Div III hupati admission UDSM, sasa saiv sijui itakuwaje coz had div IV unakua admitted.

Usibishane nae huyo huenda hajasoma UDSM, kama alisoma pale ni enzi zile za mwalimu. Kwa waliosoma UDSM kuanzia mwaka 1998 na kuendelea wanajua issue ya accomodation ilivyokuwa hot. Ilikuwa bahati hata kupata mtu wa kukubeba, yaani unanunua ubavu sembuse kitanda kizima.
 
kaka wewe umesomea wapi au ndio wale wenzetu hadi primary mmesomea nje,utalii sio lazima kwenda mikumi na serengeti uje hapa chuo uangalie nenda na mabibi hostel kaulizie utajifunza kitu hayo unayoyasema yalikuwa enzi za mwalimu

Kaka mdukuzi bahati mbaya wabunge wengi na mawaziri walipitia mlimani waqt ni mlimani kweli ukiacha mhe mwigulu na zitto ambao hawana interest na welfare ya wa tz. Serkali yako sikivu imelisikia hili tatizo kwa mara ya kwanza leo na italifanyia kazi hata kama ni kufunga chuo ili kupata pesa za uchunguzi sorry uchaguzi.
 
mm nimesoma udsm tokea mwaka 2008 hilo tatizo lilikuwepo majengo ni mabovu nakwambia na watu wanaokaa ni wengi kuliko uwezo wa jengo. chumba cha watu 2 wanakaa 4 hadi 6.

cha kushangaza ukiskia mgomo udsm ni wanafunzi wanataka boom lkn hawagomi kw mambo km haya ambayo ndiyo ya msingi

Chuo kinatakiwa kizuie hii hali ya kujazana watu kwenye vyumba
 
NjoeN udoM mtafia hapo kixa mnataka chet cha udsM kwer udoM itaBak kuwa BABA yenu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
usiogope ....... mwigulu Nchemba kasoma hapo, na ni naibu waziri wa Naira. He will do some thing. Nyie mfagilie kwa masifa bhaas!
 
nina waswas na hiyo tarehe mkuu,,,nadhan was 7 feb 2014 not 2013. kwa kuimarisha kumbukumbu zaid .
 
NjoeN udoM mtafia hapo kixa mnataka chet cha udsM kwer udoM itaBak kuwa BABA yenu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Nawe ni mwanafunzi wa chuo kikuu?Kweli chuo unachosoma ni majanga.
 
inasemekana mnakandarasi wa hayo majengo ni muisraeli
na INASEMEKANA yamejengwa kwa kiwango cha hali ya juu
but takwimu ambazo sio proved na mm mejengo haya yanadidimia kila mwaka na kuinama
ni kutokana na idadi ya watu kuzidi uwezo wake
Nimeishi kule maiaka 2 hall 2 na mwaka 1 hall 5
ukikaa nje pale lazima udondokewe na zege kutoka juu nk..
Yale ni ya kuvunja kwa sasa,kuepusha maafa.
 
Ubovu wa majengo ndio, laki na wakaaji pia wamekuwa wengi mara tatu kuliko ilivyokadiriwa. Sijui kama chuo kinaweza kuanza mkakati wa kupunguza udahili mpaka kiwango wanachoweza kuwalaza wote bila kubebana na rabsha kama hizo...

Hiyo sio sera ya serikali yetu mkuu. kwao kuwajaza watu vyuoni na mashuleni ndio dili.
 
hii kitu muhimu sana serikali pamoja na chuo kikuu waangalie kwa kina hii kitu ilitutokea dhahama .. hapo mwaka 2007 nakumbuka sana kuna kingo za kibaraza zilindondoka ilikuwa ni balaa ...ilikuwa asubuhi watu walitoka bafuni na mafovu...

yanawezekana yakawa imara ila mzigo yanayobeba ni mkubwa sana... vyumba vingine wanakaa mpaka sita... wanaweka godoro chini...


mbona wanajenga lecture theater na nasikia wanatakakujenga recreation centre/ stundent centre hapo hapo..sasa kwanini wasijenge mabweni kwa ajili ya wanafunzi..?

hizi pension fund kwanini zisiwekeze huku hawajui hawa ndio waajiri/waajiriwa wa baadae...?

pension funds?! hizo pesa kujenga hostel zitarudi lini? though najua wamejenga dom na mabibo lakini huo mrejesho wa fedha za wafanyakazi shughuli ipo.
 
Back
Top Bottom