Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Hakuna jipya hapo,Sukuma,nyamwezi wa Tabora,Katavi,shy,Mwanza,au Mjita,mkulya,mzanaki wa Mara,ni vitu vile vile,ni Sawa na kusema Chaga,Pale,sambaa,wote ni wale wale,
Kwa bongo,ishu ni jamii gani inamiriki uchumi?linaweza kuwa kabila kubwa,ila ndio choka mbaya hatari,unakuta middle class na njia zote za kiuchumi zimeshikwa na wakwe zangu wa Uchagani,
 
Hakuna jipya hapo,Sukuma,nyamwezi wa Tabora,Katavi,shy,Mwanza,au Mjita,mkulya,mzanaki wa Mara,ni vitu vile vile,ni Sawa na kusema Chaga,Pale,sambaa,wote ni wale wale,
Kwa bongo,ishu ni jamii gani inamiriki uchumi?linaweza kuwa kabila kubwa,ila ndio choka mbaya hatari,unakuta middle class na njia zote za kiuchumi zimeshikwa na wakwe zangu wa Uchagani,
Acha kukariri wewe
 
Sasa usiwe nyan mtu mwenyewe ndo wewe unawaza matambiko karne ya 21 hii wakat wenzako wanawaza kwenda kutua kwenye jua??!!
Unatuangusha sana ndugu yangu.
Kumbe walikupa kazi alafu unalalamika tena
 
Hakuna jipya hapo,Sukuma,nyamwezi wa Tabora,Katavi,shy,Mwanza,au Mjita,mkulya,mzanaki wa Mara,ni vitu vile vile,ni Sawa na kusema Chaga,Pale,sambaa,wote ni wale wale,
Kwa bongo,ishu ni jamii gani inamiriki uchumi?linaweza kuwa kabila kubwa,ila ndio choka mbaya hatari,unakuta middle class na njia zote za kiuchumi zimeshikwa na wakwe zangu wa Uchagani,
Nitajie njia gani wachaga wapo kiuchumi na mimi nikuambie njia gani wasukuma wapo na wachaga hawapo!
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Ongeza na mkoa wa Mbeya maeneo ya mbalali
 
We jamaa ni mkabila sana.
Unaendekeza mgawanyiko kutokana na ukabila.
 
Sukumagang imeenea Kama maji hata Hangaya anajua,Kona mbili anarudi Mwanza kuimarisha uhusiano.
Ukipuuza sukumagang jiandae kashindwa asubuhi.
 
Issue siyo Wasukuma, issue ni kwamba Watanzania tumemkataa shetani na mambo yake yote, huyo shetani alitumia cover ya usukuma kama kabila kubwa kuficha maovu yake ilihali inajurikana wazi ni Mrundi.

Bahima Empire imefeli vibaya, watafute strategy nyingine, sasa hivi tuko bize kuwachomowa wote waliojipenyeza ndani ya system.

In short nchi iko kwenye mikono salama ya mama.

Swala la Mbowe ni dosari za muda, lakini kwenye umbo la nyoka ukikata kichwa umemaliza kazi.

Watanzania mna haki ya kutembea vifua mbele, tunapumuwa sasa ingawa kuna bado wanapitia magumu na uonevu, hizo ndio effect za kuwakabidhi nchi washamba.
Na hao wajifanyao wasukuma wa Moro na Katavi pia wachunguzwe.
Mtu yoyote anayejaribu kuinfiltrate system na anatokea kanda hiyo achunguzwe kama kweli ni wetu au anajificha kwenye cover ya usukuma while he is somebody else!
 
Watu hawaogopi ng'ombe hata wakiwa wengi kiasi gani. Wahindi sio zaidi ya asilimia 1 ya watanzania lakini ndio vinara wa uchumi na wanakandamiza weusi kama kawa. Hivyo wasukuma kwa wingi wao wasishangae wanakuwa ndio vibaraka wa watu flani nchi hii.
Umepotea sana
 
Hakuna jipya hapo,Sukuma,nyamwezi wa Tabora,Katavi,shy,Mwanza,au Mjita,mkulya,mzanaki wa Mara,ni vitu vile vile,ni Sawa na kusema Chaga,Pale,sambaa,wote ni wale wale,
Kwa bongo,ishu ni jamii gani inamiriki uchumi?linaweza kuwa kabila kubwa,ila ndio choka mbaya hatari,unakuta middle class na njia zote za kiuchumi zimeshikwa na wakwe zangu wa Uchagani,
Wenye mitaji nchi hii kwa sasa ni kwanza Wahindi wakifuatiwa na Wasukuma kama huamini nenda TRA kaombe walipa Kodi wazuri.Wazalendo ni wafanya biashara wa kisukuma.Makampuni ya dhahabu makubwa ya weusi nchi hii ni Wasukuma.Ukiongea dhahabu ni kina ngosha
 
Wenye mitaji nchi hii kwa sasa ni kwanza Wahindi wakifuatiwa na Wasukuma kama huamini nenda TRA kaombe walipa Kodi wazuri.Wazalendo ni wafanya biashara wa kisukuma.Makampuni ya dhahabu makubwa ya weusi nchi hii ni Wasukuma.Ukiongea dhahabu ni kina ngosha
Vigagula wa ufipa watakupinga sana
 
Sukumagang imeenea Kama maji hata Hangaya anajua,Kona mbili anarudi Mwanza kuimarisha uhusiano.
Ukipuuza sukumagang jiandae kashindwa asubuhi.
Mtaji wa msukuma ni kuzaa watoto wengi na kuwafundisha kupiga kazi.Ndiyo maana Magufuli alisisitiza kufanya kazi alimaanisha kujijengea uchumi imara, waliomuelewa Leo wana mitaji.Wale wavivu hadi leo wanazungumzia misaada ili kujenga nchi
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Pole kwa mshituko, hata Msumbiji wamepatwa na mshituko baada ya kugundua kuwa wasukuma wamevuka kule na wazalisha mazao ya kutosha na kuoa wamakua wa Msumbiji.Muda si mrefu Sukuma land itatamalaki Msumbiji
 
Mtaji wa msukuma ni kuzaa watoto wengi na kuwafundisha kupiga kazi.Ndiyo maana Magufuli alisisitiza kufanya kazi alimaanisha kujijengea uchumi imara, waliomuelewa Leo wana mitaji.Wale wavivu hadi leo wanazungumzia misaada ili kujenga nchi
Umenena vyema mkuu
 
Back
Top Bottom