Issue siyo Wasukuma, issue ni kwamba Watanzania tumemkataa shetani na mambo yake yote, huyo shetani alitumia cover ya usukuma kama kabila kubwa kuficha maovu yake ilihali inajurikana wazi ni Mrundi.
Bahima Empire imefeli vibaya, watafute strategy nyingine, sasa hivi tuko bize kuwachomowa wote waliojipenyeza ndani ya system.
In short nchi iko kwenye mikono salama ya mama.
Swala la Mbowe ni dosari za muda, lakini kwenye umbo la nyoka ukikata kichwa umemaliza kazi.
Watanzania mna haki ya kutembea vifua mbele, tunapumuwa sasa ingawa kuna bado wanapitia magumu na uonevu, hizo ndio effect za kuwakabidhi nchi washamba.