Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Walioko huko ni Wanyantuzu(aina ya Wasukuma)...ni fighters kweli hao,wakorofi wana jiamini
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Fika mbeya na iringa ulete mrejesho sio wasukuma tu ndugu. Nchi hii ni yetu sote
Unaishi unapojisikia. Ukipenda taboa jengapo ishi
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Sifa za kijinga
 
Wangelikuwa ni wachagga ungekuta tayari sera za nchi zimebadilishwa kama Nyerere alivyohangaika 1967 na Azimio la Arusha na kupora mali za watu, akilenga akina mangi, kutaifisha mashule, 1977 kunyang'anya mikoa madaraka akilenga Kilimanjaro na kufunga vyama vyote vya ushirika akilenga KNCU. Watu wanatofautiana muulize JPM aliwaogopa wahindi au akina nani?
Una mawazo ya kishamba
 
Wapo kila mahali kama makabila mengine ila ancestral home yenu ni kanda ya ziwa

Hapo ni wahamiaji tu and you will always be regarded as wahamiaji...you will never be regarded as originals wa hayo maeneo unayodai
Siyo kweli
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
MOROGORO, KATAVI, SHINYANGA, TABORA (NZEGA NA IGUNGA), GEITA, SIMIYU, MWANZA, RUKWA (SUMBAWANGA VIJIJINI NA KALAMBOO NA NKASI) kote huko ni usukumani. kundi la kwanza la WASUKUMA LIMESHAFIKA CONGO DRC-Fukwe za Ziwa Tanganyika na Zambia border na Kalambo siku nyingi sana. Wekeeni katika historia, baada ya miaka 100 hivi toka sasa makabila mengi ya Tanzania yatakuwa yamemezwa na Wasukuma.
 
MOROGORO, KATAVI, SHINYANGA, TABORA (NZEGA NA IGUNGA), GEITA, SIMIYU, MWANZA, RUKWA (SUMBAWANGA VIJIJINI NA KALAMBOO NA NKASI) kote huko ni usukumani. kundi la kwanza la WASUKUMA LIMESHAFIKA CONGO DRC-Fukwe za Ziwa Tanganyika na Zambia border na Kalambo siku nyingi sana. Wekeeni katika historia, baada ya miaka 100 hivi toka sasa makabila mengi ya Tanzania yatakuwa yamemezwa na Wasukuma.
Imebidi nioe usukumani aisee, nimeangalia future
 
Hata singida wilaya ya Iramba kata ya Ndago tarafa ya Ndago wapo wa kutosha tu.

Hili ni suala la kawaida kwa mtu yeyote anae jitambua anataka nini maishani mwake ubaki home ili ugundue nini hasa?

unataka maisha mazuri, hapo hapo una jua kabisa home huwezi kutoboa ni lazima utafute connection kwingine kunako wezekana kutoboa, akili mtu wangu.
 
Wangelikuwa ni wachagga ungekuta tayari sera za nchi zimebadilishwa kama Nyerere alivyohangaika 1967 na Azimio la Arusha na kupora mali za watu, akilenga akina mangi, kutaifisha mashule, 1977 kunyang'anya mikoa madaraka akilenga Kilimanjaro na kufunga vyama vyote vya ushirika akilenga KNCU. Watu wanatofautiana muulize JPM aliwaogopa wahindi au akina nani?
Mbona husemi Kuhusu Nyanza na Shirecu ?
 
MOROGORO, KATAVI, SHINYANGA, TABORA (NZEGA NA IGUNGA), GEITA, SIMIYU, MWANZA, RUKWA (SUMBAWANGA VIJIJINI NA KALAMBOO NA NKASI) kote huko ni usukumani. kundi la kwanza la WASUKUMA LIMESHAFIKA CONGO DRC-Fukwe za Ziwa Tanganyika na Zambia border na Kalambo siku nyingi sana. Wekeeni katika historia, baada ya miaka 100 hivi toka sasa makabila mengi ya Tanzania yatakuwa yamemezwa na Wasukuma.
Chunya, Manyoni na Itigi yake kote huko sasa ni Sukumaland. Malagalasy na Uvinza ni Sukumaland kwa sasa.
 
Back
Top Bottom