Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Wangelikuwa ni wachagga ungekuta tayari sera za nchi zimebadilishwa kama Nyerere alivyohangaika 1967 na Azimio la Arusha na kupora mali za watu, akilenga akina mangi, kutaifisha mashule, 1977 kunyang'anya mikoa madaraka akilenga Kilimanjaro na kufunga vyama vyote vya ushirika akilenga KNCU. Watu wanatofautiana muulize JPM aliwaogopa wahindi au akina nani?
naheshimu mawazo yako ila sio kweli, Sera ya ujamaa iliaffect kote na kulikuwa na vyama vya ushirika vingi tu na sio KNCU pekee
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Sasa ukitukuta huko ni dhambi mkuu?! Mbona kuanzia Mwanza, Shinyanga na hata Tabora kuna makabila kama yote na hatulalamiki?!
Haya boss..
 
Wasukuma mara nyingi utawakuta maporini,sasa sijui unashangaa nini hayo maeneo wamekimbilia kufuata marisho..

Katavi (Mpimbwe ,Tanganyika na Mlele wamejaa),,Rukwa wako Kalambo,,Mbeya wako Chunya na Mbarali,Songwe wako Songwe DC,, Morogoro wako Kilosa,Rufiji na Mlimba,,Lindi wapo na Pwani sasa sijui unashangaa nini hapo mkuu ..

Kuna Mikoa hawapo mfano Njombe na Ruvuma,Iringa .
 
Wasukuma mara nyingi utawakuta maporini,sasa sijui unashangaa nini hayo maeneo wamekimbilia kufuata marisho..

Katavi (Mpimbwe ,Tanganyika na Mlele wamejaa),,Rukwa wako Kalambo,,Mbeya wako Chunya na Mbarali,Songwe wako Songwe DC,, Morogoro wako Kilosa,Rufiji na Mlimba,,Lindi wapo na Pwani sasa sijui unashangaa nini hapo mkuu ..

Kuna Mikoa hawapo mfano Njombe na Ruvuma,Iringa .
Rudi shule kidogo
 
Wasukuma mara nyingi utawakuta maporini,sasa sijui unashangaa nini hayo maeneo wamekimbilia kufuata marisho..

Katavi (Mpimbwe ,Tanganyika na Mlele wamejaa),,Rukwa wako Kalambo,,Mbeya wako Chunya na Mbarali,Songwe wako Songwe DC,, Morogoro wako Kilosa,Rufiji na Mlimba,,Lindi wapo na Pwani sasa sijui unashangaa nini hapo mkuu ..

Kuna Mikoa hawapo mfano Njombe na Ruvuma,Iringa .
Tupo Uchindile tunasogea sogea na Njombe, nasikia kuna fursa
 
Labda mseme Mlimba huko mashambani maana wengi vibarua.
Naona unahamaki sana! Wasukuma sio level zako endelea kujifanya unajua! Mi niko kongo huku tupo wengi tu tunachimba na kufanya biashara ya dhahabu!
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
nilionana na wasukuma Morogoro ndani kabisa maeneo ya Mahenge, wengine wanafuga, wengine wapo madukani. Maendeleo ni jambo zuri sana kwa kila taifa na si kabila tu. Nawapongeza zaidi kwa kufyatua watoto
 
Pole kwa mshituko, hata Msumbiji wamepatwa na mshituko baada ya kugundua kuwa wasukuma wamevuka kule na wazalisha mazao ya kutosha na kuoa wamakua wa Msumbiji.Muda si mrefu Sukuma land itatamalaki Msumbiji
Msukuma huwa hakosekani sehemu zote zenye rutuba lazima hawepo.
 
Back
Top Bottom