Kila anapoguswa mshipa hukimbilia kwenye maandiko ya Mungu, mara akalie makanisani, ajifariji kwenye biblia lakini haiondoi ukweli kuwa yeye ndio mwenye tatizo, mwambie Yusuph hakuwahi kuwa na tatizo na mtu wala hana damu ya mtu mikononi mwake, yeye anabarikiwa na lucifer maana hata yeye ana himaya yake.