Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,605
Wanabodi
Hii ni moja ya mada zangu abstract za kufikirika tuu, yaani imaginations za kitu kinachoitwa au dhana ya life after life and reincarnation.
Angalizo la Imani:
Kama wewe ni muumini closed mind wa imani ya dini yako, nakuomba upitie mbali uzi huu, ili kuepuka kubishana na watu waliokuwa indoctrinated na imani za dini zao!. Hapa wabaki watu ambao ni open minded.
Mtoa mada ni Mkristo Mkatoliki die hard, alipoishi Saudi Arabia, Dubai na Doha, alijifunza Quran Tukufu.
Alipokuwa India alijifunza Hinduism, alipokuwa China, Tibet alijifunza Buddhism.
Na aliporejea Tanzania akaenda Usukumani akajifunza imani za asili.
Waarabu ndio walituletea dini ya Kiislamu na Wamissionary wakatuletea dini ya Kikistu.
Walipozileta hizi dini zao mbili, walikuta tuna dini zetu za asili, wakasema ni za kishenzi ila kiukweli zilikuwa na nguvu, japo ni kweli zilikuwa na baadhi ya mambo ya kishenzi lakini pia zilikuwa na mambo mengine mazuri kama yale mambo ya kwa Mswati!, hivyo mimi nilishauri Blaza wangu yule "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Kwa waumini wa life after life, jee kuna uwezekano JPM amefufuka kwa mtindo wa reincarnation, hivyo he is still alive and kicking kwa kuwa reincarnated into Makonda?. Nikimuona Makonda, namuona kabisa JPM!.
Kama dhana hii ni kweli, then JPM amefufuka na yupo nasi kupitia Makonda hivyo wale waliokaa mguu upande na ku relax kwa kudhani hii ni awamu ya wala urongo!, sasa wakae mguu sawa tayari kwa mwendo wa mchaka mchaka kama wa Magufuli!. Ameisha anza na kiranja wao PM kwa kumpa ultimatum ya miezi 6!, mawaziri ni kupigiwa simu za summons
kujieleza na wakuu wa mikoa ni kuamrishwa kwa amri ya "wee kuja hapa"!. Swali ni jee JPM was he a devil or an Angel?. If a devil wale wavivu, wazembe na wabadhirifu watarejea motoni, if ni an Angel, taifa litabarikiwa!. Nikilisoma bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... I was never wrong!.
Kwa dhana za kidini za Kikistu au Kiislamu, tunaelezwa Mungu anakaa juu mawinguni ambako ni mbinguni peponi kwa Mungu na anakaa na malaika na shetani anakaa motoni Jehanam anakaa na mashetani wenzake!.
Mtu ukifa unakwenda hukumuni mbele ya haki, kama ni mtenda mema unakwenda mbinguni peponi kwa Mungu, kama ni mtenda maovu unakwenda motoni jehanam kwa shetan!. Kwa dhana za dini hizi shetani ni shetani na malaika ni malaika.
Mtu hawezi kuwa both shetani na malaika ni either awe malaika au shetani.
Naomba kuwaambia mlidanganywa!. Bila kusoma imani nyingine, ukiambiwa Mungu anakaa mbinguni utaamini, akitokea mtu akakuambia umedanganywa utamuona yeye ndio muongo!.
Ukweli ni kuwa Mungu ni Omniscience, Omnipresence, Omnipotent, hakai juu mawinguni, mbinguni sio juu, Mungu yuko kila mahali ikiwemo ndani yako so does shetani!.
Mbinguni, peponi na jehanum motoni ni hapa hapa duniani ila kuna dunia mbili, ulimwengu wa mwili, physical World, na ulimwengu wa roho, spiritual World. Na miili yetu kuna mwili wa nyama , physical body na mwili wa roho, spiritual body.
Mtu anapozaliwa anaingiwa na roho wa Mungu, the soul, the spirit na mwili wake una sehemu mbili, physical body, ni ule mwili wa nyama na spiritual body ni mwili wa roho.
Mtu anapokufa au kukata roho, kinachokufa na kuzikwa ni physical body only, ile spiritual body, roho inatoka na kuhamia kwenye ulimwengu wa roho. The soul ni eternal haifi!. Mwili ndio unakufa unageuka mavumbi.
Kwa dini za Kikistu na Kiislamu zinaamini Roho inakwenda kwenye hukumu na kuingia ama mbinguni peponi ama motoni, na Wakristo wanaamini ufufuko wa miili na uzima wa milele, ile miili inayofufuka sio miili ya nyama ni miili ya roho, mtu akiisha kufa ule mwili wa nyama hauna issue tena, uzike, uchome au ufanye cremation, it makes no difference, hata ibada za makaburini ni za kishetani tuu!. Ndio maana niliwahi kusema Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
Dini ya Hinduism na Buddhism zinaamini kwenye after life kupitia reincarnation wanaamini ukifa unazaliwa tena au unaingia kwenye mwili wa mtu mwingine. Haya mambo ya Life after life nimeyazungumza sana humu
Hivyo nakuomba uniamini japo Magufuli mwenyewe yuko hapa Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani baada ya kuitwa kwa Baba yake, ile spiritual body yake ime m possessed Makonda kwasababu Makonda ni mpakwa mafuta na Bwana.
Angalia nilianza nae lini humu Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Kama ni kweli Makonda ni Reincarnation ya Magufuli, natoa wito kwa Watanzania tujiandae kupokea the good, the bad and the ugly kama zama zile!.
The good ni mchapakazi na watu watachapa kazi, CCM itapendwa kufa, matokeo ya uchaguzi wa 2025 yatakuwa kama matokeo ya 2020, mpinzani wa kupenya labda ni mmoja tuu tena atapenyea mlango wa "nusu mkate!"
The bad ni uongozi wa mkono wa chuma!, Baada ya kum summon PM na kumpa ultimatum, huku mawaziri wakikimbizwa mchaka mchaka kuwajibika kwake, atam summon Spika and may be CJ, na mwisho wa siku, asipodhibitiwa mapema, hata Maza, atampandia kichwani!, ili asifike huko, sisi washauri wa bure tumeisha mpongeza kwa amsha amsha na kumshauri Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
Sasa nasubiria tuu, 2025 mnipe tuu maua yangu pale nilipo waambia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you can never tell for sure with politics, anything can happen!, hivyo bado inawezekana kabisa bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ni very valid, Maza anamalizia tuu awamu ya Magufuli, kisha 2025, the game is on again!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Hii ni moja ya mada zangu abstract za kufikirika tuu, yaani imaginations za kitu kinachoitwa au dhana ya life after life and reincarnation.
Angalizo la Imani:
Kama wewe ni muumini closed mind wa imani ya dini yako, nakuomba upitie mbali uzi huu, ili kuepuka kubishana na watu waliokuwa indoctrinated na imani za dini zao!. Hapa wabaki watu ambao ni open minded.
Mtoa mada ni Mkristo Mkatoliki die hard, alipoishi Saudi Arabia, Dubai na Doha, alijifunza Quran Tukufu.
Alipokuwa India alijifunza Hinduism, alipokuwa China, Tibet alijifunza Buddhism.
Na aliporejea Tanzania akaenda Usukumani akajifunza imani za asili.
Waarabu ndio walituletea dini ya Kiislamu na Wamissionary wakatuletea dini ya Kikistu.
Walipozileta hizi dini zao mbili, walikuta tuna dini zetu za asili, wakasema ni za kishenzi ila kiukweli zilikuwa na nguvu, japo ni kweli zilikuwa na baadhi ya mambo ya kishenzi lakini pia zilikuwa na mambo mengine mazuri kama yale mambo ya kwa Mswati!, hivyo mimi nilishauri Blaza wangu yule "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Kwa waumini wa life after life, jee kuna uwezekano JPM amefufuka kwa mtindo wa reincarnation, hivyo he is still alive and kicking kwa kuwa reincarnated into Makonda?. Nikimuona Makonda, namuona kabisa JPM!.
Kama dhana hii ni kweli, then JPM amefufuka na yupo nasi kupitia Makonda hivyo wale waliokaa mguu upande na ku relax kwa kudhani hii ni awamu ya wala urongo!, sasa wakae mguu sawa tayari kwa mwendo wa mchaka mchaka kama wa Magufuli!. Ameisha anza na kiranja wao PM kwa kumpa ultimatum ya miezi 6!, mawaziri ni kupigiwa simu za summons
kujieleza na wakuu wa mikoa ni kuamrishwa kwa amri ya "wee kuja hapa"!. Swali ni jee JPM was he a devil or an Angel?. If a devil wale wavivu, wazembe na wabadhirifu watarejea motoni, if ni an Angel, taifa litabarikiwa!. Nikilisoma bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... I was never wrong!.
Kwa dhana za kidini za Kikistu au Kiislamu, tunaelezwa Mungu anakaa juu mawinguni ambako ni mbinguni peponi kwa Mungu na anakaa na malaika na shetani anakaa motoni Jehanam anakaa na mashetani wenzake!.
Mtu ukifa unakwenda hukumuni mbele ya haki, kama ni mtenda mema unakwenda mbinguni peponi kwa Mungu, kama ni mtenda maovu unakwenda motoni jehanam kwa shetan!. Kwa dhana za dini hizi shetani ni shetani na malaika ni malaika.
Mtu hawezi kuwa both shetani na malaika ni either awe malaika au shetani.
Naomba kuwaambia mlidanganywa!. Bila kusoma imani nyingine, ukiambiwa Mungu anakaa mbinguni utaamini, akitokea mtu akakuambia umedanganywa utamuona yeye ndio muongo!.
Ukweli ni kuwa Mungu ni Omniscience, Omnipresence, Omnipotent, hakai juu mawinguni, mbinguni sio juu, Mungu yuko kila mahali ikiwemo ndani yako so does shetani!.
Mbinguni, peponi na jehanum motoni ni hapa hapa duniani ila kuna dunia mbili, ulimwengu wa mwili, physical World, na ulimwengu wa roho, spiritual World. Na miili yetu kuna mwili wa nyama , physical body na mwili wa roho, spiritual body.
Mtu anapozaliwa anaingiwa na roho wa Mungu, the soul, the spirit na mwili wake una sehemu mbili, physical body, ni ule mwili wa nyama na spiritual body ni mwili wa roho.
Mtu anapokufa au kukata roho, kinachokufa na kuzikwa ni physical body only, ile spiritual body, roho inatoka na kuhamia kwenye ulimwengu wa roho. The soul ni eternal haifi!. Mwili ndio unakufa unageuka mavumbi.
Kwa dini za Kikistu na Kiislamu zinaamini Roho inakwenda kwenye hukumu na kuingia ama mbinguni peponi ama motoni, na Wakristo wanaamini ufufuko wa miili na uzima wa milele, ile miili inayofufuka sio miili ya nyama ni miili ya roho, mtu akiisha kufa ule mwili wa nyama hauna issue tena, uzike, uchome au ufanye cremation, it makes no difference, hata ibada za makaburini ni za kishetani tuu!. Ndio maana niliwahi kusema Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
Dini ya Hinduism na Buddhism zinaamini kwenye after life kupitia reincarnation wanaamini ukifa unazaliwa tena au unaingia kwenye mwili wa mtu mwingine. Haya mambo ya Life after life nimeyazungumza sana humu
- Life after Death: What happens after death?
- Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
- Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
- Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Hivyo nakuomba uniamini japo Magufuli mwenyewe yuko hapa Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani baada ya kuitwa kwa Baba yake, ile spiritual body yake ime m possessed Makonda kwasababu Makonda ni mpakwa mafuta na Bwana.
Angalia nilianza nae lini humu Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Kama ni kweli Makonda ni Reincarnation ya Magufuli, natoa wito kwa Watanzania tujiandae kupokea the good, the bad and the ugly kama zama zile!.
The good ni mchapakazi na watu watachapa kazi, CCM itapendwa kufa, matokeo ya uchaguzi wa 2025 yatakuwa kama matokeo ya 2020, mpinzani wa kupenya labda ni mmoja tuu tena atapenyea mlango wa "nusu mkate!"
The bad ni uongozi wa mkono wa chuma!, Baada ya kum summon PM na kumpa ultimatum, huku mawaziri wakikimbizwa mchaka mchaka kuwajibika kwake, atam summon Spika and may be CJ, na mwisho wa siku, asipodhibitiwa mapema, hata Maza, atampandia kichwani!, ili asifike huko, sisi washauri wa bure tumeisha mpongeza kwa amsha amsha na kumshauri Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
Sasa nasubiria tuu, 2025 mnipe tuu maua yangu pale nilipo waambia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you can never tell for sure with politics, anything can happen!, hivyo bado inawezekana kabisa bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ni very valid, Maza anamalizia tuu awamu ya Magufuli, kisha 2025, the game is on again!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali