Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Kweli mshipa wa aibu umekatika!
Kaona aanze na mashoga na shishaMungu Makonda haoni hayo?
Dar "kila mtu" amevurugwa!Mungu Makonda haoni hayo?
hahaha aNaogopa kuja daisalama.
umenichekesha we mtu mana nmejaribu kuvuta taswira ya mbwa.... hahaha!Tako utafkir la mbwa
Unataka kuniambia huyo Dada hapo hajui afendacho? Mimi Naomba Mungu aendelee kutuadhibu tu ili tusio na akili tuendelee kuangamiaMungu atusamehe kwa kua atujui tulitendalo
Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
ni kweli kabisa pastor anafanya uchafu ila yule wa kwenye bus anaeonyesha saburi ni wewe na dera lako.Wewe Pastor aka Mchungaji, unashangaa hilo wakati "mapastor" aka wachungaji mnafanya haya:
Chanzo: MCHUNGAJI FEKI HUKO KENYA AKIOMBEA MAKALIO YA WADADA HAWA ILI WAPATE KUOLEWA - MULO ENTERTAINER
Huo ufito wa daladala ni wa mburahati, huko ndo kwenyewe kwa mobile vigodoro!!