Mshipa wa aibu umekatika?

Mshipa wa aibu umekatika?

Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
Mhhh mbona kwa haraka haraka ukiangalia vizuri hao kama wanaenda kwenye shuguli na bibie dirishani naona kabisa akikata huno
 
Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
Mkuu hicho kinaonekana ni kikundi cha wasasambuaji kinaenda kwenye tukio. Naona wenzie humo ndani ya basi wana sare na vifaa vya kazi kama Drums, Trumpet etc..!
 
bd31e44822e0b39b796e3b656157a397.jpg

Mabadiliko ya tabia nchi
 
Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
huyo dada anacheza ngoma kwenye gari...........unakuta wanaenda mahali na ngoma yao wanacheza kwenye gari.........nshashuhudia mara kibao.....tena wakiona watu ndiyo wanatoa makalio yao nje muone vizuri.
 
huyo dada anacheza ngoma kwenye gari...........unakuta wanaenda mahali na ngoma yao wanacheza kwenye gari.........nshashuhudia mara kibao.....tena wakiona watu ndiyo wanatoa makalio yao nje muone vizuri.
Nakubaliana na wewe baada ya kuikagua picha vizuri zaidi. Kweli hao wadada wanaenda kwenye 'vigodoro' mbagala mwisho!
 
Mkuu hicho kinaonekana ni kikundi cha wasasambuaji kinaenda kwenye tukio. Naona wenzie humo ndani ya basi wana sare na vifaa vya kazi kama Drums, Trumpet etc..!
Hata miye nshagundua hilo mkuu!Natengua kauli kwamba wanakwenda kuhudumia familia zao.
 
kawaida sana hiyo njoono uswahilin huku huyo ana Mme na watoto ukute
 
Back
Top Bottom