Mshipa wa aibu umekatika?

Mshipa wa aibu umekatika?

Wewe Pastor aka Mchungaji, unashangaa hilo wakati "mapastor" aka wachungaji mnafanya haya:

kee.jpg

Chanzo: MCHUNGAJI FEKI HUKO KENYA AKIOMBEA MAKALIO YA WADADA HAWA ILI WAPATE KUOLEWA - MULO ENTERTAINER
 
Wewe Pastor aka Mchungaji, unashangaa hilo wakati "mapastor" aka wachungaji mnafanya haya:

kee.jpg

Chanzo: MCHUNGAJI FEKI HUKO KENYA AKIOMBEA MAKALIO YA WADADA HAWA ILI WAPATE KUOLEWA - MULO ENTERTAINER
Bibie, unaharibu credibility yako kwa kuleta habari uchwara toka vyanzo uchwara....Kama unaangalia porn sema tu tukutumie clip ya hiyo ''scene'' utafahamu hapo si Kenya na huyo si mchungaji(japo sikatai wapo ''watu wa kiroho'' wafanyao ufedhuli wa namna hiyo)..Nasubiri ruhusa yako,Unatazama Porn?..😀😀
 
Bibie, unaharibu credibility yako kwa kuleta habari uchwara toka vyanzo uchwara....Kama unaangalia porn sema tu tukutumie clip ya hiyo ''scene'' utafahamu hapo si Kenya na huyo si mchungaji(japo sikatai wapo ''watu wa kiroho'' wafanyao ufedhuli wa namna hiyo)..Nasubiri ruhusa yako,Unatazama Porn?..😀😀


Nimeweka na source kwa hiyo kagombane na hiyo source.
 
Bibie, unaharibu credibility yako kwa kuleta habari uchwara toka vyanzo uchwara....Kama unaangalia porn sema tu tukutumie clip ya hiyo ''scene'' utafahamu hapo si Kenya na huyo si mchungaji(japo sikatai wapo ''watu wa kiroho'' wafanyao ufedhuli wa namna hiyo)..Nasubiri ruhusa yako,Unatazama Porn?..😀😀


Nimeweka na source kwa hiyo kagombane na hiyo source.
 
Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
Huyo ni changudoa, inaonekana wanaelekea kwenye kigodoro ama sherehe za kijamii.........si unaona ndani ya gari kuna ngoma na tarumbeta?
 
Fikirieni hawa watu wawili: mpiga picha na huyo dada kwenye usafiri mgumu wa dar anayetaka kuwahi nyumbani kuhudumia familia yake. Ni yupi kati ya hao wawili aliyekatikiwa na mshipa wa fahamu?
Ndugu huyo hawahi nyumbani Bali ni wale watu wanaotoka /kwenda kwenye shughuli/sherehe kusoma hujui hata picha huoni wako na sare na nafas zipo..!?
Huwa wanakodi daladala kwenda kwenye Sherehe na hapo anafuatwa mwari..!!
 
Back
Top Bottom