Mshindi wa Juzuu 30 Qur'an

Mshindi wa Juzuu 30 Qur'an

Eti dini ya haki.

Halafu acha kunitukana kwa kuniambia nijiunge na uislam. Sitaki nikifa nikamuliwe mavi niingie peponi nikiwa msafi. Sitaki kwenda meka kumpapasa na kumbusu mungu wenu kwa kisingizio cha kuhiji. Sitaki kusugua kipaji cha uso wangy eti nipate alama shijna eti inasemekana ukifa eti itakuwa inangaa na alla atawatambua gizani.

Bora kuabudu jiwe tu hamna jinsi
Kijana shituka muda unakwenda utakuja kuyakumbuka maneno ya Kansigo siku moja! Allah sw ndo Mungu wa kweli, YESU ni mwanadamu tu kama wewe ila yeye cheo chake ni mtume wa Mungu kwa wanaisrael! kama ambavyo walitumwa mitume wengine Kuanzia ADAM, NUHU, IBRAHIM, ISHAKA, ISMAIL, MUSSA, YUSUF ETC SIO mUNGU; KUZALIWA BILA BABA HAKUMFANYI AWE NI MUNGU shtuka
 
hizo juzuu 30 ni aina ya explosives ama. Piga ua zaragaza potassium nitrate haikosi hapo
Juzuu ni mafungu kwenye Qur'an, Qur'an imegawanywa kwenye mafungu 30 nayo ndio huitwa juzuu
 
kumbe pepo lenu lina madaraja! Interesting. Kwa iyo jamii ya mtume ni daraja la kwanza wasaudia weusi daraja la mwisho. Bora kuabudu jiwe tuu
Daraja ya pepo haichagui kabila,rangi,mwanamke,mwanamme,tajiri ,maskini,mrefu,mfupi,ndio maana katika uislamu ,jeneza analozikiwa tajiri,ndio atakalozikiwa maskini,saa saba linambeba maskini,saa kumi lambeba tajiri.
Sio tajiri abebwe na jeneza la milioni 40 na maskini abebwe la elf 50.
 
Daraja ya pepo haichagui kabila,rangi,mwanamke,mwanamme,tajiri ,maskini,mrefu,mfupi,ndio maana katika uislamu ,jeneza analozikiwa tajiri,ndio atakalozikiwa maskini,saa saba linambeba maskini,saa kumi lambeba tajiri.
Sio tajiri abebwe na jeneza la milioni 40 na maskini abebwe la elf 50.
sasa si ni heri uzikwe na hilo jeneza kuliko kukamuliwa mavi eti uingie peponi msafi hivi nyinyi mkoje nalidini lenu yani kabisa umnaamini mkizikwa mmekamuliwa mavi mkafukiwa mnnaingia peponi wasafi?!!!! Pathetic
 
sasa si ni heri uzikwe na hilo jeneza kuliko kukamuliwa mavi eti uingie peponi msafi hivi nyinyi mkoje nalidini lenu yani kabisa umnaamini mkizikwa mmekamuliwa mavi mkafukiwa mnnaingia peponi wasafi?!!!! Pathetic
Nina hakika hata wewe unajikamuwa mavi,sasa unashangaa kitu gani katika kujikamuwa mavi,wakati hicho kitendo hata ukitaka pigwa operesheni unapigwa bomba,uwe msafi.
 
Nina hakika hata wewe unajikamuwa mavi,sasa unashangaa kitu gani katika kujikamuwa mavi,wakati hicho kitendo hata ukitaka pigwa operesheni unapigwa bomba,uwe msafi.
hiloooo eti uende peponi msafi ikishakufa kwa kukamuliwa mavi. Argg

Ndio maana mmeaidiwa mkiua ambao hawana hatia mnatunukiwa mabikira 72 na wanaume wawili na mito ya pombe. Hivi nyinyi mkoje??
 
hiloooo eti uende peponi msafi ikishakufa kwa kukamuliwa mavi. Argg

Ndio maana mmeaidiwa mkiua ambao hawana hatia mnatunukiwa mabikira 72 na wanaume wawili na mito ya pombe. Hivi nyinyi mkoje??
Wakuu huyu kiumbe nia yake ni kuharibu huu uzi naomba mumpotezee tu na wala msimjibu kitu,hata mkimpa maelezo kwa miaka elfu moja hayupo tayari kuelewa, Mkuu Mufti Lion wewe pita tu ndugu nenda kwenye mada zingine and all the best...
 
Sawa lakini mdumishe Amani yetu.. pia mtumie hiyo fulsa kukemea mauaji yanayoendelea nchini kama yale ya Tanga na mwanza..
 
Allah awafanyie wepesi wawe wenye kuiona pepo ya darja ya juu Inshaallah. Wakapewe wale HURULAYN waliojazia jazia neema za Allah. Allah awajaze nguvu zaidi za kuwafanyia JIMAI hao mahurulayn hata mara mia kwa siku
Dah!Hivi haya yako kweli sijui!!!!!!!🙄🙄🙄🙄
 
hiloooo eti uende peponi msafi ikishakufa kwa kukamuliwa mavi. Argg

Ndio maana mmeaidiwa mkiua ambao hawana hatia mnatunukiwa mabikira 72 na wanaume wawili na mito ya pombe. Hivi nyinyi mkoje??
Usiongee vitu havina ushahidi,ukiwa kwenye vijiwe vya viroba.Njoo ufundishwe uislamu sahihi.
Huu uzi unawahusu waislamu,katika mashindano ya kusoma kitabu chao,wewe pia waumia,baada ya kuona waislamu wa KWELI(sio waislamu wanaopandikizwa),wamekusanyika kwa amani na kuchanguka kwa AMANI.Hakuna vurugu,hakuna aliyeibiwa,wala aliyetukanwa,juu ya wingi wa watu waliohudhuriwa kiwa na idadi si ya kawaida.
 
hizo juzuu 30 ni aina ya explosives ama. Piga ua zaragaza potassium nitrate haikosi hapo
Hawa ndio waislam wa kweli(sio wale wakupandikizwa).Uislamu ni amani.Mashindano yalikuwa na waislamu wengi sana,hakuna vurugu,hakuna wizi,hakuna alitukanwa.
Kwa hiyo mkiona waislamu wa kweli(sio mapindikizi)wakifanya shughuli zao kwa AMANI,roho zinawauma.Utaumia sana.
 
Surat Nasr bissmilahi rahmani rahim " itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na kushinda.
Na ukawaona watu wakiingia ktk dini ya Mwenyezi Mungu makundi kwa makundi
Basi hapo mtakase Mola wako pamoja na kumsifu, umuombe maghufira ( msamaha) Hakika yeye ndie apokeae toba.
 
Mashallah waislamu tuzidi kuwahamasisha vijana wetu kwa kuwapa moyo wao na waandalizi kwa jitihada kubwa mwanzo mpaka mashindano kumalizika. Hakuna kitabu kinachohifadhiwa isipokuwa Quraan, Mnyezi Mungu atupe imani kufanya mema.
 
Nachelea sanaa au naogopa sanaa kuona vijana wetu kufanya mambo Kwa ria au kujionesha "Allah yuasema watakuja watu siku ya kiama na kusema mimi nilisoma sanaa Quran Allah nilipe fadhila za kusoma kula Allah atamjib ulisoma Quran ili ulipwe upate sifa umeshazipata huko dunia au ushalipwa huko dunian'" wallah tuogope cku ambayo tutasimamishwa mbele la mola wetu tukiwa uchi na tufanye amali Kwa ajili ya Allah


Wabillah tawfiq..
 
Back
Top Bottom