Mshindi wa Juzuu 30 Qur'an

Mshindi wa Juzuu 30 Qur'an

Juzuu ndo nini?-ufafanuzi tafadhali,otherwise hongera mshindi.
 
Alhamdulillah,Nasikitika_kukosa_kushiriki_mashindano_haya_maana_niko_mbali.

All_in_All,Shukran_sana_kwa_wote_walioandaa_shindano_hili_na_kulisimamia.

Shukran_zangu_pia_ziende_kwa_wale_wote_walioshiriki_na_kuhudhuria_hafla_hii_muhimu_ya_kumtukuza_mola_wetu.

Panapomajaliwa_Insha'Allah_nami_nitajitahidi_nishiriki.
 
Maa shaa Allah,mungu awajaalie waandaaji moyo wa kuyafanya mara kwa mara sio mpaka Ramadhan inshaallah.
Ndg.Mpendwa !! Wee jipange na umtayarishe mwanao ili nae ashiriki.. kuna mashindao thru out the year na tuzo hufikia $200,000... na huko mengine ni ya kimataifa !!
 
Waandaji walifanya kazi kubwa sana wanahitaji pongezi za kutosha.
 
Nasikia mshindi alipangwa eti
Sidhan kama atakuwa amepangwa,kwani mtu anasoma na nyie wote mpo mnasikia,penye kosa mnajua kabisa kuwa hapa amekosea,bahat nzuri majukwaani pis walikuwepo watu am so nao wamehifadhi kama wao
 
Katika mashindano,yaliondaliwa na Alhikima,katika uwaja wa Uhuru,Dar es Salaam.Mshidi huyo kwa Jina la Ismail Kambi Mgeni,alipata zawadi ya gari aina ya Noah,yenye thamani ya milioni 14,pamoja na zawadi mbali mbali ikiwemo karo ya masomo yake,atakayoanza kulipiwa mwakani.
Washiriki mbali mbali pia walipata zawadi za Bajaj,pikipiki,mashine ndogo ndogo za juice,Laptop nk.
Mashindano hayo yalihudhuriwa na mgeni rasm,Rais mstaafu wa awamu ya pili,Mzee wetu,Alhaj Ali Hassan Mwinyi,Sheikh Kishki,Sheikh mkuu wa Tanzania,na wageni kutoka nchi ya Saud Arabia.
Mashindano yalikuwa ya kimataifa,washiriki kutoka Kenya,Tanzania(mwenyeji wa mashindano) na Uganda, walishiriki.Aliyepata ushindi wa kwanza juzuu 30 ni Mtanzania.
Kuna mshindi aliyehifadhi juzuu 5 na ni mtoto mdogo wa kike,majina yake yote hayakuwa ya kiislam,hebu wenye kujua historia yake watujuze.Inshallah!
 
Katika mashindano,yaliondaliwa na Alhikima,katika uwaja wa Uhuru,Dar es Salaam.Mshidi huyo kwa Jina la Ismail Kambi Mgeni,alipata zawadi ya gari aina ya Noah,yenye thamani ya milioni 14,pamoja na zawadi mbali mbali ikiwemo karo ya masomo yake,atakayoanza kulipiwa mwakani.
Washiriki mbali mbali pia walipata zawadi za Bajaj,pikipiki,mashine ndogo ndogo za juice,Laptop nk.
Mashindano hayo yalihudhuriwa na mgeni rasm,Rais mstaafu wa awamu ya pili,Mzee wetu,Alhaj Ali Hassan Mwinyi,Sheikh Kishki,Sheikh mkuu wa Tanzania,na wageni kutoka nchi ya Saud Arabia.
Mashindano yalikuwa ya kimataifa,washiriki kutoka Kenya,Tanzania(mwenyeji wa mashindano) na Uganda, walishiriki.Aliyepata ushindi wa kwanza juzuu 30 ni Mtanzania.
hizo juzuu 30 ni aina ya explosives ama. Piga ua zaragaza potassium nitrate haikosi hapo
 
Allah awafanyie wepesi wawe wenye kuiona pepo ya darja ya juu Inshaallah. Wakapewe wale HURULAYN waliojazia jazia neema za Allah. Allah awajaze nguvu zaidi za kuwafanyia JIMAI hao mahurulayn hata mara mia kwa siku
kumbe pepo lenu lina madaraja! Interesting. Kwa iyo jamii ya mtume ni daraja la kwanza wasaudia weusi daraja la mwisho. Bora kuabudu jiwe tuu
 
kumbe pepo lenu lina madaraja! Interesting. Kwa iyo jamii ya mtume ni daraja la kwanza wasaudia weusi daraja la mwisho. Bora kuabudu jiwe tuu
SEMA MTUMWA WA WAYAHUDI NA WAZUNGU! HIVIM UNAJUA LI DINI LAKO LIMEBAKI AFRIKA TU? shituka kwanini hakuna mwana israel yoyote mkristo acha kubebeshwa gunia la misumari, njoo kwenye dini y haki
 
Hongera zake..

Ila hii stail wanayowafundishia hawa vijana ingetakiwa itumike pia kwenye shule zetu za Kiislam maana kule sisi ndo vil.aza..
 
18 Reasons Why Christianity is Man-Made

The most obvious and yet most damning reason against Religion is that it is man made. Here is a great website that gives 18 reason why Christianity is man made. He makes the case that Christian apologist have arguments against them but they only satisfy the believer. All they need is one bent and barely stable rusty nail to hang onto to be satisfied. I recall buying such things when I was a Christian, but deep down inside, something just told me they really were flimsy defenses and happily for me they won they day. Good-bye cognitive dissonance. It is no wonder so many youtube videos made by Christians block the vote, block leaving a comment or you must wait for their approval. Doesn't that sound like fear? They cannot bear the truth. On the flip side the videos done by atheist allow the free flow of comments. This is all true for blogs as well.

As Mark Twain said, "It is easier to fool people than to convince them they have been fooled."

The 18 arguments showing Christianity is man-made. I had added some of my thoughts here.
1. The flawed Bible
2. Jesus and Paul expected the apocalypse very soon even in that generations lifetime.
3. Converting a local god into a universal god, who heretofore left millions unaware.
4. No evidence to the historicity of Jesus beyond the New Testament.
5. Christian refusal to learn from new evidence and recite old arguments.
6. Prophecies of Jesus retrofitted into the Old Testament and poorly at that. The book of Matthew is quite flawed for me in particular.
7. The flimsy argument the NT was written by eye-witnesses. My favorite is the 500 who were resurrected when Jesus died and they are unnamed but apparently told everyone and yet not even one of them is named or has a book written by them.
8. The flawed argument that people will only give their lives for that which is true. No. They only need to be convinced its true. That doesn't make it true. The 9/11 terrorists flying into the World Trade Center is sufficient to dismiss that.
9. The mumbo jumbo about crowbarring Jesus into divinity where now the one god is three. That wasn't introduced until the late 4th century.
10. Christian apologist practice bait and switch tactics. They argue for the existence of god that could be used by any religion and then supposedly having you convinced they assume that proves their god, which is does not. It could just as easily apply to Thor, Odin, Vishnu or Enki.
11. In order to believe Christianity literally they are forced to believe the world is only 6000 years old and the arguments they use to ignore evidence is astonishing.
12. The obvious human endeavor to determine which books belonged in the Bible. They had to choose out of hundreds of books which one was god inspired. They was a long period of dispute and then once settled the command went out to destroy those books not in the canon. There is nothing awe inspiring about that process. This was done under the Roman Catholic reign, which many Protestants would not be happy about. Interestingly enough the gospels were unnamed for years until someone decided to give them a church leader's name (e.g. apostle) to provide clout. This was typical in ancient times. Additionally in comparing manuscripts of the New Testament there were thousands of errors, omissions and even additions so much so the author of Revelation gave a stern warning against the practice. A perfect god could have been more hands on.
13. The account of the death and resurrection of Jesus, the only thing that matters in Christianity, is contradictory when you read the 4 gospels side by side.
14. It is obvious from the style of writing that the gospel of John & Revelation were not the same authors. Revelations almost didn't make it into the NT (which frankly would have been great to cut down on all the nuts attracted to it), but they made the argument to accept it into the NT because they said it was written by the same author as the gospel of John which actually is not the case.
15. The author of the book of Revelation makes no claim about his cryptic prophecies being way off in the future but meant it to be applicable to his times. Meanwhile, generation after generation of Christians say it is for their time.
16. Christian history and particularly when Christianity is in power they torture and murder those who don't believe as they do. Sounds like a local god, doesn't it? Here in the U.S. they show the same proclivity to oppress others that don't believe as they do (e.g the laws against gays and abortion). A taste of things to come if they continue. Their local god gets pissed at those who don't agree with him, but somehow he is unable to take care of it himself. All-powerful or imaginary?
17. You shall know them by their fruits Jesus said. Yet morally speaking there is no difference between an atheist and a Christian or any other group of people who believe differently. How is it the one nation under god was one of the last to abolish slavery. And then there was and is the continual race hatred. Also, why did the loving Christians wipe out about every Native American populations? Is this the country they want to get us back to? For the answer ask a gay person.
18. Why are there so few details on heaven besides eternity bowing before god. Why is hell easier to understand?
 
SEMA MTUMWA WA WAYAHUDI NA WAZUNGU! HIVIM UNAJUA LI DINI LAKO LIMEBAKI AFRIKA TU? shituka kwanini hakuna mwana israel yoyote mkristo acha kubebeshwa gunia la misumari, njoo kwenye dini y haki
Eti dini ya haki.

Halafu acha kunitukana kwa kuniambia nijiunge na uislam. Sitaki nikifa nikamuliwe mavi niingie peponi nikiwa msafi. Sitaki kwenda meka kumpapasa na kumbusu mungu wenu kwa kisingizio cha kuhiji. Sitaki kusugua kipaji cha uso wangy eti nipate alama shijna eti inasemekana ukifa eti itakuwa inangaa na alla atawatambua gizani.

Bora kuabudu jiwe tu hamna jinsi
 
Back
Top Bottom