Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,791
- 8,007
UliyemtajaMshana Jr wa wapi huyo?
Kweli hajakuonyesha tu makucha yake anaroho mbaya hana msaada anaangalia wakumpa sasa huyo sio handsome , handsome au gentlemen ni mtu wawatu sio wa wewe tu , kuwa handsome na tajiri tunajua
Uliyemtaja
Labda hao wanamsofu wana Agenda zao hakuna loloteMshana Jr ndiye GOAT wa JF
Salaam wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi. Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani...www.jamiiforums.com
Hawajakumbwa na shidaTuwaheshimu wana JamiiForums ambao hawajawahi kupigwa ban
Good Friday Kareem. Dhumuni la uzi huu ni kuwatambua wenzetu ambao wamekuwa ni watiifu wa mila na desturi na tamaduni zilizowekwa na uongozi wa JamiiForums ili sisi sote tuufuate. Mzee Mohamed Said amekuwa ni babu na baba bora wa jukwaa hili. Umsimange, umkebehi, umwite jina lolote baya au...www.jamiiforums.com
Iko wapi thread yako ya kusifiwa kwa tunu zako za kike?Labda hao wanamsofu wana Agenda zao hakuna lolote
Kwani Unique Flower mimi na wewe tulipishana wapi rafiki? Mbona tulikuwa ma best sana? Hebu itoe hiyo nyongo leo maisha yasongeHawajakumbwa na shida
Mie sihitaji masifa Mungu wangu ananijua inatosha wanadamu , aku rafiki bora yu mbinguni duniani marafiki haba so my dear siitaji kusifiwa wengi wanapitia kwake kupata faidaIko wapi thread yako ya kusifiwa kwa tunu zako za kike?
Mimi nasoma comments tu, hii sichangiiKwani Unique Flower mimi na wewe tulipishana wapi rafiki? Mbona tulikuwa ma best sana? Hebu it a like hiyo nyongo leo maisha yasonge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie best yako tu pale silii shida ila nikiwa na shida unaangalia SMS kama hunijuiKwani Unique Flower mimi na wewe tulipishana wapi rafiki? Mbona tulikuwa ma best sana? Hebu it a like hiyo nyongo leo maisha yasonge
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri
Sahau yaliyopita usiweke vinyongo tuna nafasi ya kuanza upya... Ninapoweza nitafanya bila kinyongo nitakaposhindwa nitakujuza kwa upole rafiki mwemaMie best yako tu pale silii shida ila nikiwa na shida unaangalia SMS kama hunijui
Kwani Mshana Jr mwenyewe anasemeje??????Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
이기는 사람Daaaah hahahahhahView attachment 2709014
Be blessed and stay blessedMie sihitaji masifa Mungu wangu ananijua inatosha wanadamu , aku rafiki bora yu mbinguni duniani marafiki haba so my dear siitaji kusifiwa wengi wanapitia kwake kupata faida