Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,773
- 9,967
Kweli.
ila wengi hatujui haya na serikali inatumia kutokujua kwetu kama mtaji.
ila wengi hatujui haya na serikali inatumia kutokujua kwetu kama mtaji.
Upo sahihi ila ukweli unabaki palepale kwamba anatakiwa asimamie maendeleo kwa niaba ya wananchi na hiyo ndo kazi tuliyompa na sio favour ....ni wajibu wa serikali kutufanyia yote hayo hata kama nyuma kulikuwa na mapungufu