Mshahara wa September vipi watumishi?

Mshahara wa September vipi watumishi?

Wale wa kikosi cha mizinga sijui wanapata wapi taarifa. Ukianza kuona vi message vyao, mara salamu, mara upo? na vitu vya namna hiyo, ujue tayari wahi tu kwenye ATM.
Hapo unamanisha nini mdau
 
Wale wa kikosi cha mizinga sijui wanapata wapi taarifa. Ukianza kuona vi message vyao, mara salamu, mara upo? na vitu vya namna hiyo, ujue tayari wahi tu kwenye ATM.
[emoji3]
Hali tete mbwa kala mbwa [emoji83]
 
Back
Top Bottom