Haha JeffvlarMzee wa ngada na MU ARSENAL inaezekana hamfanyi kazi serkalini

Wapiga mizinga huwajui mdau?Hapo unamanisha nini mdau
Wale wa kikosi cha mizinga sijui wanapata wapi taarifa. Ukianza kuona vi message vyao, mara salamu, mara upo? na vitu vya namna hiyo, ujue tayari wahi tu kwenye ATM.

Haha Mbingo kesho watakuwa wameweka mzigo ila nyongeza HakunaAcha masihara bana
Ili mkaning'inie kwenye sturi ndufu?Ukitoka tushtuane wadau maana ndio tarehe zenyewe hizi