Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,160
- 55,667
ha ha ha ha,anatia huruma kweli
ha ha ha ha,anatia huruma kweli
ha ha ha ha,anatia huruma kweli
Huyu mzee akiwa kwenye majukwaa anavyotamba,,, mishahara inalipwa tarehe 19 tofauti na huko nyuma,,
Daaaah kwa style hii utendaji kazi utakua zero aisee
ha ha ha ha halafu unakuta ameelemewa na majukumu kibao.....Hatariii usishangae kuona mtu anatembea anaongea mwenyewe
Malizia kabisa majibu ya bwege hahaamajibu ya mtu asiye mstaarabu
Unawahi kufika wapi? KllnHuwa inakuwaje kila mwezi huwa nawahi etii
Usijali kesho atatoaa tuweni na subra...Huyu mzee akiwa kwenye majukwaa anavyotamba,,, mishahara inalipwa tarehe 19 tofauti na huko nyuma,,
Daaaah kwa style hii utendaji kazi utakua zero aisee
Malinya wa Bhoke samoHuyu mzee akiwa kwenye majukwaa anavyotamba,,, mishahara inalipwa tarehe 19 tofauti na huko nyuma,,
Daaaah kwa style hii utendaji kazi utakua zero aisee
Hatari sana!Hahahaah juzi nimeenda Mwenge kusuka kule ambapo wanasemaga chini ya 30k hawasuki nikawaambia nina alfu 10 rasta zangu akagoma nikapangusa makalio niondoke akanirudisha eti njoo tu si tunaelewana?! Dah maisha yamekuwa magumu aisee
JULY IMEISHAAAAAA FANYENI KAZI AVHENI MAZOEA HIZO TAR N UTASHI WASERKL WENZENU WANALIPWA 30-31 TARMwezi uliopita (June) 2019 salary imetoka tarehe 19.Kesho ni mwisho wa mwezi tujongee ATM mapema.
Tatizo huyu mzee mpaka aamue mwenyewe,kila kitu yeye,vitu haviend,ukitoka tar 19,anatamba kila jukwaa analosimama.Haya ni mapungufu ya katiba yetu.Huyu mzee akiwa kwenye majukwaa anavyotamba,,, mishahara inalipwa tarehe 19 tofauti na huko nyuma,,
Daaaah kwa style hii utendaji kazi utakua zero aisee
Kuajiriwa nao ujasiriamali, maana bila kufanya michakato ya kueleweka hakuna mtu atakuajiri