Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Hata wenyewe wanasubiri mishahara itoke biashara zichanganye mama ntilie vyakula vinadoda saivi
Hahahaah juzi nimeenda Mwenge kusuka kule ambapo wanasemaga chini ya 30k hawasuki nikawaambia nina alfu 10 rasta zangu akagoma nikapangusa makalio niondoke akanirudisha eti njoo tu si tunaelewana?! Dah maisha yamekuwa magumu aisee
 
Ni muajiriwa wa serikali jaman . Kudanga saiv si unaona hela hazijatoka madanga yotee yako kwa wake zao tabuu kweli kweli mm Nina mishahara miwili tena mwezi Huu nitadownload salary slip
Na wewe ni muajiriwa wa serikali?? au unasubiri mshahara wa danga lako
 
TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
 
Mtaishi kama mashetani. Stone akisoma hizi posts roho yake kwatu kabisa.
 
TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
 
Back
Top Bottom