Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,217
- 3,112
Doh....
Mshahara tayariMshahara bado
Mshahara tayari
HahahMshahara wa dhambi au?
Mkuu umeshatembea UCHI Dar nzima au?Kwa sababu mnamtetea sana January basi ngoja tuwanyooshe
Niko grocery karibu na home. Tuko na mjeda mmoja na jamaa 2 wa magogoni. Wote tunakunywa kwa mkopo tukitegemea huenda ijumaa au jumatatu tutalipa







Huu uzi mnauchezea sana,uongo kwenye masuala ya ukwel sio mzurNmb Oyeeee
Umevamiwa na viwavijeshiKudadeki uzi umevamiwaaaa
PoleAcha uongo , mshahara bado
Seriously...Hahahaha Dada jamani?
Huwa inakuwaje kila mwezi huwa nawahi etiiJaman
Pole
Kwa nini nikudanganye sasa
walishakutoa kwenye list ya malipo mkuu