Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,217
- 3,116
Doh....
Mshahara tayariMshahara bado
Mshahara tayari
HahahMshahara wa dhambi au?
Mkuu umeshatembea UCHI Dar nzima au?Kwa sababu mnamtetea sana January basi ngoja tuwanyooshe
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Niko grocery karibu na home. Tuko na mjeda mmoja na jamaa 2 wa magogoni. Wote tunakunywa kwa mkopo tukitegemea huenda ijumaa au jumatatu tutalipa
Huu uzi mnauchezea sana,uongo kwenye masuala ya ukwel sio mzurNmb Oyeeee
Umevamiwa na viwavijeshiKudadeki uzi umevamiwaaaa
PoleAcha uongo , mshahara bado
Seriously...Hahahaha Dada jamani?
Huwa inakuwaje kila mwezi huwa nawahi etiiJaman
Pole
Kwa nini nikudanganye sasa
walishakutoa kwenye list ya malipo mkuuSasa hii nitaitoaje aseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].View attachment 1160752
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]walishakutoa kwenye list ya malipo mkuu