Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!

Kama ni wa kike niunganishe nae ili niwe nampa hii hela ya madaraka ya uratibu elimu kata ninayopewa na hii serikali ya awamu ya tano kila mwezi. Laki mbili na nusu si itamtosha?
 
Kama ni wa kike niunganishe nae ili niwe nampa hii hela ya madaraka ya uratibu elimu kata ninayopewa na hii serikali ya awamu ya tano kila mwezi. Laki mbili na nusu si itamtosha?
Utapomkuta ni Afisa elimu(W) sijui utasemaje mkuu.
 
Mshahara tayari
Kuna ongezeko kubwa sana!
JPM katufanyia suprise kwa kweli!
Wahini kwenye ATM mkachague lugha
😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨
Alisikika mlevi mmoja mtaani kwetu leo asubuhi akinena maneno hayo!
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Mshahara tayari
Kuna ongezeko kubwa sana!
JPM katufanyia suprise kwa kweli!
Wahini kwenye ATM mkachague lugha
😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨
Alisikika mlevi mmoja mtaani kwetu leo asubuhi akinena maneno hayo!
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Ngoja waje utakoma matusi...
 
Ngoja waje utakoma matusi...
🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️ 🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom