Hahahaha hana nauli mini?Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
Hahahaha hana nauli mini?Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
Sasa mbona wanaoandikaga hvyo ni wamatumbi hawa hasa wa kike?Ngachoka ni kichagga, ikimaanisha kuchoka (nimechoka).
Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
majibu ya mtu asiye mstaarabuSisi sio tulio kuajili. Kamulize alikuajili.
Wa MaguHivi na wewe ni mwajiriwa wa Serikali?
nani kakuambia? Bado nipo sana tena sana!Wewe ulisha retire unaulizia mshahara upi?
Haya sawa. Work= Force x distance. TayariMshahara mtalipwa mwisho wa mwezi. Fanyeni kazi
Atakuwa anatunzwa na mwanae anayefanya kazi serikaliniWewe ulisha retire unaulizia mshahara upi?
Hapana, bado nipo sana kwa Magu!Atakuwa anatunzwa na mwanae anayefanya kazi serikalini
Utapomkuta ni Afisa elimu(W) sijui utasemaje mkuu.Kama ni wa kike niunganishe nae ili niwe nampa hii hela ya madaraka ya uratibu elimu kata ninayopewa na hii serikali ya awamu ya tano kila mwezi. Laki mbili na nusu si itamtosha?
Tumevamia Uzi wa watu!!Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
Sawasawa. Atakua mzee fulani msg za kuomba pesa ya pombe za kienyeji kwa mwanawe aliyeolewa haziishi. Ndio maana anaulizia mwenyewe ajue kama mama ameshachotaAtakuwa anatunzwa na mwanae anayefanya kazi serikalini
Ngoja waje utakoma matusi...Mshahara tayari
Kuna ongezeko kubwa sana!
JPM katufanyia suprise kwa kweli!
Wahini kwenye ATM mkachague lugha
😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨
Alisikika mlevi mmoja mtaani kwetu leo asubuhi akinena maneno hayo!
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️Ngoja waje utakoma matusi...
Umetoka au..?Sasa mbona wanaoandikaga hvyo ni wamatumbi hawa hasa wa kike?
Vp mkuu mbona kimya teyari au..?Mwezi uliopita (June) 2019 salary imetika tarehe 19.Kesho ni mwisho wa mwezi tujonge ATM mapema.
Wewe mkuu ni genius.Sio bure itakua ni salary advance crdb hahaha Mshahara ukiingia utapata msg wameshakata chao teh teh teh
Kweli kabisa riba rafiki kwa kweli.Sema salary advance crdb wanatuokoa sana