Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Yaani Bakhresa, Mo, Manji, Hans Poppe, Mremi, Olomi (na waachuuzi wengine walioamua kuwa waachuuzi) wawaonee wivu watu walioajiriwa?
Kwahyo tz nzima wachuuz sampuli ya hao Ni asilimia ngapi? Kwahyo wewe na kiduka Chalo Cha laki 2 unajiona una biashara? Wakati hiyo laki mbili Ni posho ya kikao Cha Siku moja kwa baadhi ya waajiriwa?
 
Mnamteta sana mkuu amemind sana mwezi huu mtakula jeuri yenu
 
C ungenisaidia?Kuanzia Leo napunguza mazoea na wewe!Kumbe ndio ulivyo huchelewi kunitangaza!Mbona mi udangaji wako nimenyamaza tu!Sio vizuri kutangaza ya watu!
 
sisi tunauza barafu hatuna shida kabisa pesa ya kula tunapata hata mashahara
hautuizi kichwa
 
Back
Top Bottom