Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,041
- 134,315
Kwa sababu mnamtetea sana January basi ngoja tuwanyooshe
Hapana..umemuajiri wewe
Bado hapa mimi nacheki muda wote ila madaraja na increment vimechelesha.
Bank gani?
Michn u slim😉Umekula nn wewe?
😀Bank ya damu hiyo si bure
Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
bado nipo till 2030Mkuu ww si retired?
bado nipo till 2030
[/
sawaTunafanya ukaguzi kwanza
😂😂😂😂😂😂😂😂Mshahara tayari
Kuna ongezeko kubwa sana!
JPM katufanyia suprise kwa kweli!
Wahini kwenye ATM mkachague lugha
😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨
Alisikika mlevi mmoja mtaani kwetu leo asubuhi akinena maneno hayo!
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
ngoma hii mpaka tarehe 29.Vuteni subraKaka Retired sasa tuache utani. naongea ukweli. nimeongea na watu wa BoT, wamesema wanamalizia utaratibu na LEO HII MSHAHARA UTATOKA. uwe amani. Leo pesa inatoka mkuu
Hapana leo utatoka nimeongea na wahusika wenyewe BoT mkuu.ngoma hii mpaka tarehe 29.Vuteni subra
Tar 24 ndi uhakika. Bora mafundi wasubiri kama unavyosubiri.Wakuu with all serious note, hii issue ya mshahara imekaaje... si kawaida mpka muda huu bilabila. Kuna mafundi wako site nikitegemea hela ingetoka toka jana, niliweza kuwapiga kiswahili jana ila leo sijui ntawaambia nn