Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
Huku wameweka jero jero mkuukwangu tayari....
huko kwenu vipi??
Huku wameweka jero jero mkuukwangu tayari....
huko kwenu vipi??
haa haaaaHuku wameweka jero jero mkuu
Mpaka mwezi wa kumi julai hii kausha kwanzaJamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
Umeshatoka tayari
Write your reply...salary ilishatoka mda hu kwa wale WA nmb
watu wana mizaha sana sometimes, i wish akudu bi malaika gabu niwanyoosheWewe uiesema mwezi wa 8,chunga sana!
Kuwa mpole... kama mishahara hauwezi kuikutanisha kakope..... subiri tarehe 30Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
ANAYENIDAI SHILINGI ZAKE NDIYE ANAYENIPA TAARIFA KILA UNAPOTOKA MSHAHARA. NIKIONA KIMYA NAJUA MSHAHARA BADO.



anaumwa au shida NAULI....Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
Mshahara wa mwezi wa sita ulilipwa tarehe 19 hadi leo ni siku 32.Uhakika jumanne tar 23 kwa sasa chapa kazi tu mkuu ,kama hali tete mfukoni njoo pm.
kwa hiyo mshahara umeshaingia ila madaraja na nyongeza ndio bado si ndio !!! .....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado hapa mimi nacheki muda wote ila madaraja na increment vimechelesha.
Mwisho wa mwezi haujafika vuta subiraJamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
TehFanyeni kazi, acheni kulialia.... mbona ukitoka huwa hata hamleti mrejesho...!!
Sio bure itakua ni salary advance crdb hahaha Mshahara ukiingia utapata msg wameshakata chao teh teh tehANAYENIDAI SHILINGI ZAKE NDIYE ANAYENIPA TAARIFA KILA UNAPOTOKA MSHAHARA. NIKIONA KIMYA NAJUA MSHAHARA BADO.
Work= Force x distance. Haya sema lingineFanyeni kazi, acheni kulialia.... mbona ukitoka huwa hata hamleti mrejesho...!!