Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Vipi tetesi za nyongeza zipoje naskia kimya kimya wanaongeza mkuu?

Japo nidanganye mkuu nipate matumaini mana maisha yenyewe mafupi
kuna mtu kanidokeza kuwa kuna nyongeza, nilivombana mbavu hakufunguka ni kiasi gani,

Ngoja ukitoka tutajua ni kweli ama lah?

 
Mkuu maumivu niliyonayo namshitakia Mungu. Haiwezekani mtu umeanza naye kazi siku moja halafu yeye apande wewe ubaki. Na ALAANIWE anayepandisha madaraja kibaguzi yeye na uzao wake.
Mkuu sana je ume fatilia kwa afisa utumushi wko kakupa majibu gani maana kuna kipindi barua za kupanda Daraja zilifutwaa ulitakiwa uandike mpya
 
Mkuu sana je ume fatilia kwa afisa utumushi wko kakupa majibu gani maana kuna kipindi barua za kupanda Daraja zilifutwaa ulitakiwa uandike mpya


Mkuu,aandike upya barua ya kupanda daraja kivipi? Fafanua tafadhali.
 
Mkuu,aandike upya barua ya kupanda daraja kivipi? Fafanua tafadhali.

Madaraja yalitenguliwa so kila kitu kina anza upya na anaendika marekebisho ni afisa utumushi anaingia kwny mfumo na kuandika maelezo then anatuma
 
Utashangaa mtu wa hivyo anaishi kwa shemeji.
Ni mjinga uyo anajua kwamba watumishi wa serikali Ni laki tano na kadhaa na sio million 5...Yaani ni wachache sana wengi wanabangaiza maisha mtaani lakin ana guts za kuongea shot juu yao...
Ni watu million 2.9 wanaolipa kodi wengine wanashughuli zisizo rasmi...anaishi is mazoea tu
 
Back
Top Bottom