Watu mna moyo. Huu wakati wa kuwa karibu na mwenza kufukuza hii baridi eti bado mnaongelea mshahara.Mshahara mtalipwa mwisho wa mwezi. Fanyeni kazi
Wewe ulisha retire unaulizia mshahara upi?Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
Wengine tushaamka tunafanya mazoezi. Ushawahi kusikia 5AC?Watu mna moyo. Huu wakati wa kuwa karibu na mwenza kufukuza hii baridi eti bado mnaongelea mshahara.
5AC na simu?Wengine tushaamka tunafanya mazoezi. Ushawahi kusikia 5AC?
Nimemaliza kuchukua hot water showerWengine tushaamka tunafanya mazoezi. Ushawahi kusikia 5AC?
Uhakika jumanne tar 23 kwa sasa chapa kazi tu mkuu ,kama hali tete mfukoni njoo pm.Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
Hivi na wewe ni mwajiriwa wa Serikali?Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
Hapana..umemuajiri weweHivi na wewe ni mwajiriwa wa Serikali?
Yes...part of 20/20/205AC na simu?
Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!leo tutalipwa nadhani vp kuna tetesi zozote nya nyongeza
C ungenisaidia?Kuanzia Leo napunguza mazoea na wewe!Kumbe ndio ulivyo huchelewi kunitangaza!Mbona mi udangaji wako nimenyamaza tu!Sio vizuri kutangaza ya watu!Kuna rafiki yangu leo hajaenda job..maisha haya!
Bado hapa mimi nacheki muda wote ila madaraja na increment vimechelesha.Jamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa
mpaka mwezi 8 tarehe moja
C ungenisaidia?Kuanzia Leo napunguza mazoea na wewe!Kumbe ndio ulivyo huchelewi kunitangaza!Mbona mi udangaji wako nimenyamaza tu!Sio vizuri kutangaza ya watu!