fadtanji
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 768
- 999
We jamaa kama unanizungumzia mimi, huwa nakaa naongea na washkaji ila ikifika muda huo, unaweza kuongea nami ila akili iko mbali kabisa nawaza mishe.Aiseee ina dawa ni kutega tu, turun mambo yetu mitaani ....ni kuingia saa3 unatoka saa7
Hahahaha mm sielewagi kabisa kinachoendelea mpka nikae 8hrs job Basi siku hiyo Kuna semina ya posho au nimesafiri kikazi
kwamba hawana kazi za kufanya?