Mshahara wa Aprili umetoka

Mshahara wa Aprili umetoka

Haya ni mafanikio makubwa sana kwa serikali hii kulipa mshahara tarehe 19.

Haijawahi kutokea toka uhuru wa Nchi hii. Magufuli hoyeeeeeeeeee.....
 
Hahahah maana unaanza kuifikiria hiyo distance ya mwezi ujao SI mchezo
Kama ni kweli hii sio sawa kabisa. Watu tarehe 25 tutakuwa tumekaukiwa halafu una zaidi ya siku 28.

Anyways, kujiongeza kunatuhusu hapa
 
Kama ni kweli hii sio sawa kabisa. Watu tarehe 25 tutakuwa tumekaukiwa halafu una zaidi ya siku 28.

Anyways, kujiongeza kunatuhusu hapa
Aiseee ina dawa ni kutega tu, turun mambo yetu mitaani ....ni kuingia saa3 unatoka saa7

Hahahaha mm sielewagi kabisa kinachoendelea mpka nikae 8hrs job Basi siku hiyo Kuna semina ya posho au nimesafiri kikazi
 
Aiseee ina dawa ni kutega tu, turun mambo yetu mitaani ....ni kuingia saa3 unatoka saa7

Hahahaha mm sielewagi kabisa kinachoendelea mpka nikae 8hrs job Basi siku hiyo Kuna semina ya posho au nimesafiri kikazi
Kabisa yaani. Mood ya kufanya kazi unafanya kuidownload, vinginevyo huwezi kufanya kazi. Nimejipa miaka yangu kadhaa nisepe niendelee na mambo yangu.
 
Kwa utawala huu usisepe kwanza, hii mijamaa ina roho mbaya Sana...hata huko kwenye business utakumbana na mavikwazo balaa Anza kuzirun ukiwa unakula msahahra wao wa bure huku ukitega kuingia kazini ila hakikisha maafisa utumishi mko nao fair, mimi nilikuwa HQ huko walikuwa wanabana Sana, tulikuwa tunasaini kwa mifumo ya electronics ya fingerprint nikaomba uhamisho kuja mkoani, huku daftari tu siingii siku4 nikija nasaini zote...huku nimekuta Ofisi ni kudoji tu mpka mkurugenzi mnapeana zamu na masaa, kazi haziendi kabisa kila mtu anafanya mambo yake
Kabisa yaani. Mood ya kufanya kazi unafanya kuidownload, vinginevyo huwezi kufanya kazi. Nimejipa miaka yangu kadhaa nisepe niendelee na mambo yangu.
 
Kwa utawala huu usisepe kwanza, hii mijamaa ina roho mbaya Sana...hata huko kwenye business utakumbana na mavikwazo balaa Anza kuzirun ukiwa unakula msahahra wao wa bure huku ukitega kuingia kazini ila hakikisha maafisa utumishi mko nao fair, mimi nilikuwa HQ huko walikuwa wanabana Sana, tulikuwa tunasaini kwa mifumo ya electronics ya fingerprint nikaomba uhamisho kuja mkoani, huku daftari tu siingii siku4 nikija nasaini zote...huku nimekuta Ofisi ni kudoji tu mpka mkurugenzi mnapeana zamu na masaa, kazi haziendi kabisa kila mtu anafanya mambo yake
Kuna uzi mtu mmoja kasema waTz ni wavivu sana watu wamemjia juu kweli kweli.
 
na sisi tunaopata profits na mabonus tunacomment wapi mkuu?
 
Aiseee ina dawa ni kutega tu, turun mambo yetu mitaani ....ni kuingia saa3 unatoka saa7

Hahahaha mm sielewagi kabisa kinachoendelea mpka nikae 8hrs job Basi siku hiyo Kuna semina ya posho au nimesafiri kikazi
Kumbe ndio maana waajiri wanapenda Wakenya na Wahindi
 
Kwa utawala huu usisepe kwanza, hii mijamaa ina roho mbaya Sana...hata huko kwenye business utakumbana na mavikwazo balaa Anza kuzirun ukiwa unakula msahahra wao wa bure huku ukitega kuingia kazini ila hakikisha maafisa utumishi mko nao fair, mimi nilikuwa HQ huko walikuwa wanabana Sana, tulikuwa tunasaini kwa mifumo ya electronics ya fingerprint nikaomba uhamisho kuja mkoani, huku daftari tu siingii siku4 nikija nasaini zote...huku nimekuta Ofisi ni kudoji tu mpka mkurugenzi mnapeana zamu na masaa, kazi haziendi kabisa kila mtu anafanya mambo yake
Duuh, una raha sana.

Ni kweli mkuu. Hadi hili kufuli litoke madarakani ndo nachomoka. Najua hata wenzake hawakutegemea kusomeshwa namba hivi. Kwa hiyo hawatuletea wa hivi tena. No situation is permanent.

Kwa sasa ni kufanya kazi kadiri ya uwezo wako na vipaumbele vyako, vinginevyo utakufa maskini.
 
Duuh, una raha sana.

Ni kweli mkuu. Hadi hili kufuli litoke madarakani ndo nachomoka. Najua hata wenzake hawakutegemea kusomeshwa namba hivi. Kwa hiyo hawatuletea wa hivi tena. No situation is permanent.

Kwa sasa ni kufanya kazi kadiri ya uwezo wako na vipaumbele vyako, vinginevyo utakufa maskini.
Serious huwezi kuifanyia serikali kazi kwa bidii wakati huthaminiwi
 
Back
Top Bottom