Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,446
Kuna nini Cha kushauri hapoTofautisha malalaniko na ushauri.
Kuna nini Cha kushauri hapoTofautisha malalaniko na ushauri.
Kuna nini Cha kushauri hapoTofautisha malalaniko na ushauri.
Sio kila kitu ulete ujuaji... anyway uwe na siku njemaLabda unifahamishe jambo moja.
Wewe ndio mwenye hii thread mbona unajishuku?
Punguza mihemko.
Basi ungenyamaza Kama yalikuwa hayakuhusu...Hakuna ujuaji hapo...
Sawa mshahara umetoka then WHAT???
Siku mkifukuzwa kazi mnakuja kulia lia huku mkijidai mmechanganyikiwa sijui nna mke na watoto pamoja na wategemezi na kuomba mtaji wa kuanzisha Biashara ambayo huijui.......
SELL OR GET SOLID
HaaahaaaMagufuli ndio mwajiri mkuu,mlipa hela, boss wetu
Mkuu ilibaki kidogo tu nianzishe Uzi humu kuulizia hii kitu....ngoja niwahi kwenye ile "that listen"Tuwahini kwenye akaunti zetu wakuu, Kimfaacho ni chake hata kama kasungura kenyewe kadogo.
Sikukuu oyeeeeeeeeeeee...
Ndo mlipaji Mkuu...we vipi?Magufuli hapa anaingiaje? Huu ni ujuha!!
Hata last month,ngoma ilisoma tar 19Haya ni mafanikio makubwa sana kwa serikali hii kulipa mshahara tarehe 19.
Haijawahi kutokea toka uhuru wa Nchi hii. Magufuli hoyeeeeeeeeee.....
Hahaha..bila kusahau umeme, SGR, stiglaz na dreamlinerBaada ya Serikali kugundua kuwa mishahara inawatosha ikaona bora iboreshe zahanati barabara na maji safi kama sehemu ya kuwaongezea mishahara
Ni kweli hum Jf ukiangalia watu wanasema nini unaweza kujiona una mikosi yaani full mashauzi walahHuwa nawashangaa sana watu wanaojisifu yasiyowahusu, hasa kwa kuwakatisha tamaa wenzao…!!! Nilishamwona jamaa mmoja, kwa kujitapa mitandaoni unaweza ukajiona huna lolote... NENDA KWENYE MAISHA YAKE HALISI SASA...!!! Hutaamini kabisa kama ndo yeye…
Aafuu usikute wote tunashauka na Kwa sababu hiyo wote tunajiona tuna mikosi ... Yaani humu Kuna wenye mijihela, wafikisha vileleni wadada, wa maisha mazuri, wenye mamitaji na mabiashara makubwa....YAANI UNAWEZA UKAAMUA KURUDI KWENU NANJILINJINi kweli hum Jf ukiangalia watu wanasema nini unaweza kujiona una mikosi yaani full mashauzi walah
Hatari sana aiseeAafuu usikute wote tunashauka na Kwa sababu hiyo wote tunajiona tuna mikosi ... Yaani humu Kuna wenye mijihela, wafikisha vileleni wadada, wa maisha mazuri, wenye mamitaji na mabiashara makubwa....YAANI UNAWEZA UKAAMUA KURUDI KWENU NANJILINJI
Kama unakunywa banana wine ukuje nitakupa free kwa government workers onlyAisee ndio kwanza Leo tar 19 April ni furah tupu
Ila sasa mpaka tutoboe hyo may tar 24 hali ni mbaya mpaka unakunywa banana yan tena kwa mkopo