Very relative term
1. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku…. 10,000/- lakini mwenzio anapata 300,000/- mwishoni kwa mwezi... Jua mpo sawa tu, tofauti yenu ni kiwango kwa muda gani
2. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku 10,000/- lakini mwenzio kwa mwezi anapata 1,000,000/-... Huyo kakuzidi..
3. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku, kwa nature ya wabongo, hizo 10,000/- za kila siku usifanye lolote la maana…. BY THE WAY unajuwa kwa nini watu wanacheza michezo ya kupeana hela kila baada ya muda Fulani kuna mtu anapewa MZIGO MKUBWA? Tunashindwa kukusanya wenyewe hadi kifike kiwango cha kufanya la maana….
HIVYO ULIPWE KILA SIKU AU KWA MWEZI, IT ALL DEPENDS ON nidhamu yako ya matumizi ya fedha….