DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Halafu kichaa mmoja anatamka eti nyongeza za mishahara ni hadi tumalize hizo project.Serious huwezi kuifanyia serikali kazi kwa bidii wakati huthaminiwi
Anajitoa ufahamu kuwa annual increment sio favour bali ipo kwa mujibu wa sheria.
We're led by sadist leaders