Mshahara ushatoka uko mitano tena

Inapokuja swala la kuajiriwa na kujiajiri, kila mtu ana mtazamo wake kutokana na mfumo wake ( kwako hasara kwangu faida, kwangu hasara kwako faida)

Pia tunategemeana baina ya waliojiajiri na walioajiriwa ( huenda wateja wako wakawa hao hao walioajiriwa)

Cha msingi kila mtu amuheshimu mwenzake na tukitaka kuelimishana au Kuhabarishana kuhusu hilo basi tutumie usulubu mzuri

NAMBA KUWASILISHA
 
Kuna mkopo wa bank hapo. Makato yasingefika 1m.
 
Waajiliwa ni mzigo wa taifa
Hapo baada ya siku 2 wameishiwa
Kuwa fair Mzee, maisha hayapo hivyo

Kuna watu kuajiriwa kunawalipa kuliko kujiajiri kadhalika kuna watu kujiajiri Kunawalipa kuliko kuajiriwa

Kila mtu akae pale anapoona panamlipa bila kumbeza mwenzake

Manaa hata hao walioajiriwa wanategemewa na watu kibao na wengine wamejiajiri.
 
Kweli kabisa, lakini ukweli lazima usemwe. Wapo waajiriwa wamejiongeza na kuanzisha vyanzo vingine vya mapato nje ya kazi zao.
 
Mbona unafikiri negative tu?

Enjoy kazi yako wacha waenjoy kazi zao
Mimi pia nilianza maisha kwa kuajiriwa na najua taabu za kuajiriwa sio kama nafikiri negative.

Chamsingi ni kwamba watu wasiridhike na mishahara yao waumize kichwa na kujiongeza ili kukuza vyanzo vya mapato.
 
Safi kabisa.

Huo ni utumwa.

Sasa na wewe weka kodi unayolipa na pesa kubwa kuliko hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…