Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,091
- 8,243
Kule ambako kulikuwa kama kituo cha polisi kwa bwana Pombe, hata kwa forklift ilikuwa haiwezekani kumng'oa kumpelekaMama yuko kule kwa mabeberu labda ameambulia chochote akaamua awarushie
Kule ambako kulikuwa kama kituo cha polisi kwa bwana Pombe, hata kwa forklift ilikuwa haiwezekani kumng'oa kumpelekaMama yuko kule kwa mabeberu labda ameambulia chochote akaamua awarushie
Kwani walimu sio watu?Lazima utakuwa mwalimu wewe..
Ngoja kamkopo ulichokopa kaishe,utarudia hali yako ya zamani mwenyewe,😉😉😉Mshahara wangu mwezi huu naomba mgawanye huko huko hazina,mfanye hela ya maji.Huu mwezi sina njaa kabisa.
Hivi yule bwana alikuwa anahofia mini,mbona Mugabe alikuwa anaenda kuwachana huko huko akina Bush & TonyKule ambako kulikuwa kama kituo cha polisi kwa bwana Pombe, hata kwa forklift ilikuwa haiwezekani kumng'oa kumpeleka
Muongozo wa utendaji kazi wa jeshi la polisi...PGO ndo nini,hili neno limezungumzwa sana humu leo
nikutumie salary slip?Hehehehe 3M ya Zimbabwe![]()
Hakujua kuongea kiingerezaHivi yule bwana alikuwa anahofia mini,mbona Mugabe alikuwa anaenda kuwachana huko huko akina Bush & Tony
Tuma tuonenikutumie salary slip?
Kwa nini hakujifunza ama alikuwa na kazi nyingi za kulala na mafaili ghettoni kwakeHakujua kuongea kiingereza
Hahaha siwezi kutuma, labda unitafute nikuoneshe.Tuma tuone
Tozo wamesema wanajengea vituo vya afya.Neema ya tozo.