Mshahara mwezi huu umewahi sana

Mshahara mwezi huu umewahi sana

Itoshe kusema lazima mleta uzi atakuwa mwalimu tena wa msingi.....
Alafu muulize, mshahara umetoka tarehe 22 na mwezi ujao unatoka tarehe 21 hapo kuna tofauti gani ya urefu wa mwezi huo kwenda mwingine?.
 
Kwa hiyo ukilipwa mapema umeongezewa? Maandiko yanasema wapeni masikini pombe wanywe wasahau shida zao.
Hakuna msitari Kama huo kwenye biblia,huu Ni msitari wenye kupotosha neno la Mungu

Bali biblia Kuna stari huu Mit 31:6

Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
 
Mungu amewalinda mko salama.

Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.

Uzi Tayari.
Mshahara ukitoka leo tarehe 22 ukaja ukatoka next month tarehe hii hii 22 ni umekaa mwezi tu, sawa sawa na yule anaepokea tarehe 30 mpaka tarehe 30
 
Mungu amewalinda mko salama.

Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.

Uzi Tayari.
Lazima tuuwahishe ili na posho zetu za kuzuru USA tuwahi kujichotea
 
Acheni kurusha roho wasiokuwa na mshahara na inawezekana mleta uzi hata sio mtumishi wala hana chek namba ,zaidi anataka Tension

sent from HUAWEI
Hapa unataka akujibu ili upate uhakika zaidi
 
Back
Top Bottom