Mungu amewalinda mko salama.
Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.
Uzi Tayari.
Watanzania bwana! Kuwahi mshahara maana yake nini? Utaratibu wa Serikali kulipa mshahara ni kwa mzunguko wa kila baada ya wiki tatu, ya nne unalipwa. Mshahara haulipwi kwa kuzingatia tarehe. Sasa, ukilipwa tarehe 23, ukalipwa tarehe hiyo hiyo au 25 au 27, inakupunguziaje ukali wa maisha? Hao ni maafisa utumishi tu wanaocheza na akili zenu watumishi hususani wa ngazi za chini!Mungu amewalinda mko salama.
Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.
Uzi Tayari.
😀😀Bado bhana, labda yupo kwenye jeshi mojawapo
Mungu amewalinda mko salama.
Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.
Uzi Tayari.
Bush lawyer
SOMA HIYO SHERIA YA UGAIDI UONE KAMA MBOYE ATACHOMOKA
Usimlaumu huenda yuko Botswana labda kwao wamewahishatusemee mama anaupiga mwingi kama mabingwa wa nchi mara nne wakisaka ya tano
Watanzania bwana! Kuwahi mshahara maana yake nini? Utaratibu wa Serikali kulipa mshahara ni kwa mzunguko wa kila baada ya wiki tatu, ya nne unalipwa. Mshahara haulipwi kwa kuzingatia tarehe. Sasa, ukilipwa tarehe 23, ukalipwa tarehe hiyo hiyo au 25 au 27, inakupunguziaje ukali wa maisha? Hao ni maafisa utumishi tu wanaocheza na akili zenu watumishi hususani wa ngazi za chini!
Watumishi ihimizeni Serikali kuboresha kiwango cha mishahara mlipwe kulingana na ughali wa maisha kwa sasa; lakini pia, mboreshewe maslahi mengine kama posho za kujikimu, gratuity, monthly peshions, nk.
yan wewe jamaa umepata sms asubhi hii inavyoinekaa.hobgera zako haya sasa ukahemee vitu vyote vya ndan.tenga kodi kabisa saving angalau 150k. iliuobak nauli za kituon kwakoNMB hoye
Na utawahi kuisha pia...usisahau hilo.Mungu amewalinda mko salama.
Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.
Uzi Tayari.
yan wewe jamaa umepata sms asubhi hii inavyoinekaa.hobgera zako haya sasa ukahemee vitu vyote vya ndan.tenga kodi kabisa saving angalau 150k. iliuobak nauli za kituon kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Crdb bado bhanaCrdb oyeeeee
oya mwanang tembo Kanya uko
Misemo ya askari wetu
.