jian
Member
- Apr 2, 2020
- 17
- 14
Yap teali toka janaWale wenzangu vipi mambo tayari? mimi kwangu haijasoma.
Yap teali toka janaWale wenzangu vipi mambo tayari? mimi kwangu haijasoma.
Mkuu kweli au mnatania maana Kuna msela namdai dah.Yap teali toka jana
Ni kweli.Mkuu kweli au mnatania maana Kuna msela namdai dah.
Na KWELI KIMA CHA CHINI MIL.2 inawajali sana Ccm oyeeMungu amewalinda mko salama.
Natoa Pongezi Tele kwa Serikali sikivu ya CCM kwa Kuendelea Kutujali Watumishi. Asante Mama.
Uzi Tayari.
nimeona watu hawafungui
Nadhan kesho mambo yatakua vizuriWajameni mwezi huu oktoba vipi tena wiki endi ndo hiyooo imewadia na njaa kali au mambo hadi next week..
mpaka j3 dah lazima tufike tumechoka SanaMshahara umewai sana.
Alafu umeingia kimyakimya bila kale ka sms
Kweli, maana crdb kwa halmashauri yangu bado sijaona kitu. Labda kesho Monday.Mbona kama tumeludi ule mfumo wa zamani. Kila halmashauri wanalipa kwa wakati wao
Kumbe wengi tu tumefikiria hivyo..!!
We nyauu kabisaa....nimeona watu hawafungui
Mama hataki watu wahesabiwe huku wananjaaAnaupiga mwingi bado?