Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,249
- 5,312
We jamaa unafkili kila graduate anaanza na 2.5M? Inategemea na kozi
Kozi gani mfano graduate anaanza na gross ya 2.5?
We jamaa unafkili kila graduate anaanza na 2.5M? Inategemea na kozi
Hello wapendwa!
Samahani naomba tupeane elimu kidogo hapa. Nimepata kazi mahali fulani ambapo mshahara gross kwa mwezi ni laki saba lakini itanibidi nihamie Dar kwa ajili ya hiyo kazi.
Kwa sasa nafanya kazi mahali kama temporary na wananipa laki 4 ambayo haina Makato yoyote na pia nakaa nyumbani. Je wakuu huo mshahara ni fair kwa graduate au niikatae hiyo offer yao?
NB: Mkataba unasema nitakua napewa transport na airtime allowance kila wiki na baada ya probation ya miezi mitatu kuisha nitakua entitled to bonuses.
Kozi gani mfano graduate anaanza na gross ya 2.5?
Ha ha ha ha akili za kuambiwa changanya Na zakoUkatae kaka, graduate unaanziaga gross 2.5M.
Muache akakomae Na jiji bwanaMi bora nipokee hiyo laki nne huko mkoani kuliko laki saba hapa dar . hapa dar nyumba 100000 , umeme 10000 , maji 5000, na msosi ndo usiseme. Ila kama unamatumizi mazuri na hela basi usiache hiyo chance.
mkuu acha kumzodoa mwenzio.. Nimecheka kweli yani kimya kimyaUkatae kaka, graduate unaanziaga gross 2.5M.
Thanx and big upNenda kafanye hyo ya laki7 coz inakuhamisha nyumbani uende ukajitegemee na ujiffunze maisha yalivyo,hutakwama ukienda kwa nia moja na maamuzi ya dhati,yakigoma mambo si unarudi tu kweni nini?toka nyumbani kwenu kajifunze maisha
Wote waliopo Dar walikuja na mshahara wa kutosha?mnaomshauri aje Dar...akija mtampokea!
Dar kuzuri ila changamoto ni nyingi huo mshashara haototosha kama hutajipanga vilivyo.
Nadhani kuna baadhi ya watu wame reply bila kukuelewa mr.mzumbe ila binafsi nimekuelewaUkatae kaka, graduate unaanziaga gross 2.5M.