yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,552
- 3,513
Matumizi na mahitaji hako si unayajua mwenyewe mkuu? Kuna mambo binafsi yasiyohitaji ushauri.
hadi kwako?Njoo dsm ila maisha ni magumu sana ukae ukijua
Kwangu sio magumu.hadi kwako?
Badili jina eti gross graduate upate 2.5M.....Ukatae kaka, graduate unaanziaga gross 2.5M.
mambo poa. hivi usharudi bongo eeeh?Kwangu sio magumu.
Ila sijapata ninachokitaka bado. Sijarizika.
Mambo vipi lakini husninyonwangu
We jamaa unafkili kila graduate anaanza na 2.5M? Inategemea na koziUkatae kaka, graduate unaanziaga gross 2.5M.
Jaman hamjajua yuko mkoa gani. Kuna mikoa ni nyoko.i.e mtwara. Ni bora aende dar tuMi nakushauri ubaki mkoani kwa hiyo laki nne ni hela kubwa sana kuliko laki 7 hapa dar, hiyo laki nne mkoani ukiamua kupanga unapata chumba kuzuri cha 25, umeme na maji mnashea, usafiri mkoani ni raha sana gari moja tu huku dar hata hilo moja ni tabu tupu, chakula dar ni tofauti na mkoani kama huwezi kula kipande cha pweza itakubidi ununue kuku wenye sumu tofauti na mkoani, unakula Takapojo (parachichi), ugali, samaki, mboga za majani, maharage vyote bei chee sio dar huku, mm sikushauri hapo mkuu
hello wapendwa!
samahani naomba tupeane elimu kidogo hapa,nimepata kazi mahali flani ambapo mshahara gross kwa mwezi ni laki Saba lkn itanibidi nihamie Dar kwa ajili ya hiyo kazi..kwa sasa nafanya kazi mahali kama temporary na wananipa laki 4 ambayo haina Makato yoyote na pia nakaa nyumbani.so wakuu huo mshahara ni fair kwa graduate au niikatae hiyo offer Yao?
NB:mkataba unasema nitakua napewa transport na air time allowance kila week na baada ya probation ya miezi mitatu kuisha nitakua entitled to bonuses.
ThanksNi kweli mashirika binafsi yanachangia 1% na ya umma 1/2% ya mashahara wa mfanyakazi . Hii hatoi mfanyakazi.